Kampeni ya kataa ndoa

Kampeni ya kataa ndoa

wanawake wenyewe hawaulizi kwanini hatutaki kuwaoa
halafu midume ndo mnakua vihere here wa kuuliza.
KATAA NDOA
NDOA KIFUNGO cha kujitakia
 
Hovyo Sana. Hicho kibunda unaenda kufanyia nini. Wanawaza siku mbili mbele hawaoni miaka ishirini mbele watakuwa Je.
kazi kushabikia uzinzi tu wengi ni madogo hawajakuwa kiakili.
 
Hii kampeni inalenga kuharibu misingi ya ndoa na familia. Watoto watakaozaliwa na kulelewa na mzazi mmoja wa kike nao watakua na hawataona umuhimu wa kuo/kulewa. Nao watazaa watoto type yao wasielewa umuhimu wa ndoa. Matokeo yake ndiyo mapenzi ya jinsia moja kushamiri, ni hatari sana kwa malezi na makuzi ya watoto bila wazazi wote wawili. Wapo walioamua kwa utashi wao kuzaa na mwanaume yeyote wanayemuhitaji kuwapa mimba lakini hawataki kuishi na mwanaume wanataka kuwa huru bila mume rasmi, ndiyo hawa ma singo maza waliojitakia kuishi hivyo
 
kazi kushabikia uzinzi tu wengi ni madogo hawajakuwa kiakili.
Tupo tuliokua kiakili, tunajitambua, tunajithamini na tunajipenda ila bado tunaunga mkono kampeni hii KATAA NDOA. Marry at your own risk lakini sisi lazima tukupe msisitizo KATAA NDOA
Heshima kwako mkuu
 
Tupo tuliokua kiakili, tunajitambua, tunajithamini na tunajipenda ila bado tunaunga mkono kampeni hii KATAA NDOA. Marry at your own risk lakini sisi lazima tukupe msisitizo KATAA NDOA
Heshima kwako mkuu
Haha
 
Hii kampeni inalenga kuharibu misingi ya ndoa na familia. Watoto watakaozaliwa na kulelewa na mzazi mmoja wa kike nao watakua na hawataona umuhimu wa kuo/kulewa. Nao watazaa watoto type yao wasielewa umuhimu wa ndoa. Matokeo yake ndiyo mapenzi ya jinsia moja kushamiri, ni hatari sana kwa malezi na makuzi ya watoto bila wazazi wote wawili. Wapo walioamua kwa utashi wao kuzaa na mwanaume yeyote wanayemuhitaji kuwapa mimba lakini hawataki kuishi na mwanaume wanataka kuwa huru bila mume rasmi, ndiyo hawa ma singo maza waliojitakia kuishi hivyo
Mapenzi ya jinsia 1 yako tangu zamani ya kalee.
Sijui unataka kuzungumzia nn. Lol
 
Back
Top Bottom