Naona lengo si kuharibu taasisi ya ndoa, ila kuharibu ujenzi wa familia kamili, kwa kuwa familia inaweza tengenezwa bila ya kuwepo ndoa, wapo watu wamekaa pamoja miaka kibao na watoto mpaka wakaamua Sasa wafunge ndoa , shida ni kuharibu family system ambayo ni muhimu kujenga maadili ya mtu.Watu waupinde wanapiga kotekote mzee baba. Hii kampeni ni mahsusi kwa ajili ya kuharibu taasis ya ndoa ambayo ni msingi wa malezi kwa watoto.
Sasa ili kupata mashoga wengi na lesbs wengi malezi ya kutojali misingi ya familia ni mbinu mojawapo.
Hawa hawapo kwa bahati mbaya. Wataendelea kuongeza watoto wasio na malezi ya baba na mama ili kupata victims wengi wa lgbtq.
Sijui kwanini nimeandika kirefu hivi akh kupotezeana muda tu.
Mtu hujengwa na baba imara na mama mtiifu kwa kufundisha njia iliyo sahihi na kufundishwa SHERIA za kufuatwa , hii ndo familia inayotafutwa na freemasons kuiharibu na Wala si ndoa.