Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,360
- 91,912
Bas,nakutakia ubaba mwema...Mwenyezi Mungu aendelee kuwatunza ninyi nyoteninao
Bas,nakutakia ubaba mwema...Mwenyezi Mungu aendelee kuwatunza ninyi nyoteninao
nyote na nani ?ninyi nyote
Hao sio watu wa kuwa iga wala hustahili kuwatolea mfano. Hakuna family bond Kati ya baba mama na watoto. Hakuna kitu diamond atajivunia kimaadili kuwafundisha watoto wake maana muda wote wako na mama zao. Yeye yuko busy kuanzisha mahusiano yasiyodumu kila uchao na tunaamini wala hayatadumu maana ndio tabia yake. Huyo kwenye maadili ya Familia yuko mbali kabisa haifai kigwa.Mond ana watoto kijiji, hajao
P-Diddy ana watoto kijiji hana mpango wa kuoa
CR7 ana watoto kijiji, hajaoa
Ndoa ni Utapeli
Sanuka sasa KATAA NDOA
Wewe na wanaonyote na nani ?
GraciasWewe na wanao








Wewe uliokotwa?
Ndoa Ni kwa wapumbavu, wanaopigwaHuna hoja unaongea tu umejikaririsha tu.
Afande Rama kaoa, na watoto juu bado kaliwa nuktaHii ni kampeni ya kuendeleza ushoga
Shoga yoyote Hana ndoto ya kuwa baba,
Shoga yoyote hawezi Wala kuwa mama.
Ni kampeni ya kishetani.
Hakuna rijaal yeyote asiye na ndoto ya kuoa
endelea kuongea upumbavu.... ndoa ni complicated kuliko kua baba tu....Hii ni kampeni ya kuendeleza ushoga
Shoga yoyote Hana ndoto ya kuwa baba,
Shoga yoyote hawezi Wala kuwa mama.
Ni kampeni ya kishetani.
Hakuna rijaal yeyote asiye na ndoto ya kuoa
NAKAZIA
we jamaa you're so good at this.... 😂Afande Rama kaoa, na watoto juu bado kaliwa nukta
Eti kuwa baba tu.endelea kuongea upumbavu.... ndoa ni complicated kuliko kua baba tu....
sijakataa kwamba ndoa ni taasisi ya kujenga, lakini nataka utambue watu tunaiogopa kwasababu tumeshuhudia mambo ya kishetani yakifanyika humo. Ndoa haitabiriki, inaweza kua chanzo cha mateso makali, hata kifo....Mnafarijiana kwa mifano ya uharibifu .