Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Leo asubuhi zaidi ya polisi 50 walimshika Kampeni meneja ambaye pia ni Mbunge wa Maswa mashariki,mh Kasalamboi pamoja na mbunge wa viti maalum Suzan Kiwanga, baada ya kuwashikilia kwa muda na kutoa maelezo kwenye kituo cha polisi hapa Igunga.
Wanatuhumiwa kumpiga DC wa Igunga, baada ya kuandika maelezo wamewahamishia Tabora mjini, hadi Jumatatu watakapofikishwa mahakamani.
Hii ni ishara nyingine ya jeshi la polisi kutumiwa na CCM, DC aliingilia mkutano wa Chadema, tukaenda kushitaki, halafu Wabunge wetu ndio wanakamatwa,huu ni uhuni mkubwa.
Kamwe haturudi nyuma wala kukata tamaa, tutasonga mbele na kamwe haki haikuwahi kushindwa
Wanatuhumiwa kumpiga DC wa Igunga, baada ya kuandika maelezo wamewahamishia Tabora mjini, hadi Jumatatu watakapofikishwa mahakamani.
Hii ni ishara nyingine ya jeshi la polisi kutumiwa na CCM, DC aliingilia mkutano wa Chadema, tukaenda kushitaki, halafu Wabunge wetu ndio wanakamatwa,huu ni uhuni mkubwa.
Kamwe haturudi nyuma wala kukata tamaa, tutasonga mbele na kamwe haki haikuwahi kushindwa