Kampeni 2015, Picha ya Siku

Kampeni 2015, Picha ya Siku

Mbagala walienda kushuhudia jinsi mtu anavy.ojinyea. Maana walisikia tu yaliyotokea kule Geita na sasa walitaka kushuhudia kwa macho yao
Hebu acheni utani jamani. Nimeona kule Whatsapp wameweka mpaka picha lakini siwezi kuamini. Ni kweli mzee alikata gogo akiwa jukwaani? Ni mgonjwa kiasi hicho? Siasa jamani siyo kuchafuana na hili halitusaidii.
 
Mbagala walienda kushuhudia jinsi mtu anavy.ojinyea. Maana walisikia tu yaliyotokea kule Geita na sasa walitaka kushuhudia kwa macho yao

Mkuu nawewe unasiasa zawatu ambao hawajaelimika japo kwashule yakata duuuuu!!!! Kweli mheshimiwa lowasa ajakosea ktk vipaumbele vyake Elim Elim Elim.
 
namwomba shetani azidi kuwapotosha fisiem waendelee hiv hiv kumtukana Rais wa tano wa Watanzania ili kuwatia hasira zaid wapiga kura.

shetani hoyeeeeeeeeeeeeee

Hooooiiiyeeeeee....
 
....
7359f6785877ec19fd94368a00c2cd1d.jpg
 
El hana mpinzani...

Hawa Sisiem ni mbwembwe tu kama wanavyojitapaga mabondia ambao mwishoni wanachezea vichapo.
Hahahahahaaa ccm ni noma aise hii nchi akitaka kuiacha n yeye mwenyewe magufuli lakin sio upinzan
 
Back
Top Bottom