Kamkimbia mumewe baada ya harusi

Kamkimbia mumewe baada ya harusi

Kahawa

Maharage

Mahindi

Ngano

Soya

Alizeti

Nk......

Kahawa, mahindi, uvuvi mbambabey, dhahabu ya kutoka msumbiji inayoingia kwa magendo pale ndio uchochoro, kiufupi mbinga ina biashara kuliko songea mjini sawa na ilivo masasi kibiashara kuliko mtwara au ilivo Kasulu kibiashara kuliko kigoma mjini, au kahama ilivo safi kwa biashara kuliko shinyanga,
 
Nakumbuka sana pisi za songea na mbinga zinaendajiuza mbeya na chunya halafu za mtwara, kilwa, lindi, iringa, njombe zinapishana mbinga, hivi mwanangu mmoja anaitwa dokela bado yupo? Jimama la mbinga na la mjini kwelikweli
Kweli wadada was mbinga,songea wanaenda jiuza mbeya, Hilo jimama hata silijui.
 
Kahawa, mahindi, uvuvi mbambabey, dhahabu ya kutoka msumbiji inayoingia kwa magendo pale ndio uchochoro, kiufupi mbinga ina biashara kuliko songea mjini sawa na ilivo masasi kibiashara kuliko mtwara au ilivo Kasulu kibiashara kuliko kigoma mjini, au kahama ilivo safi kwa biashara kuliko shinyanga,
Kweli kabisa
 
Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.

Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.
Hii dhambi itamtafuna huyo binti, Karma itampa haki yake.
 
Wasalaam,

Ni hivi kuna binti jirani alipata mchumba wa dini tofauti, na kijana alimpenda binti, kijana alibadili dini na ndoa ikafungwa.

Kumbe binti alikuwa na danga lake jibaba, danga likaenda nyumbani kwa wazazi wa binti na kuwaambia kuwa anamtaka mke wake na yupo tayari kurudisha gharama za harusi. Danga likaonyesha chatting za yeye na binti, binti anasema kuwa anampenda jibaba na kuhusu kuolewa alilazimishwa na mama take.

Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.

Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.


Tukio limetokea,wilaya ya Mbinga,na harusi imefungwa tarehe 13/7/2023
Huyo kijana nae ni mjinga pro max unabadili vp dini kumfuata mwanamke?
 
Ndiyo hivyo,inasemekana anatumia nyota za wadada,akikudaka atakutumia ukiisha anakubwaga,coz mtaani hapa wapo aliotoka nao na walikuwa wanatamba balaa,lakini Sasa wapo tu hawana mauzo.
Na bado hamjifunzi kupitia wenzenu[emoji2]
 
Inastaajabisha sana, n ukwel kwamba akl ya mwanadamu hujikita sana kwenye ubinafsi wa akili na roho.

Some of people above, mumejikita sana kwenye suala lake la kubadl dini tu.

Tulipaswa zaid tujkite katika kipengele cha "Kupigwa sindano ya sumu", inasikitisha sana kwa kwel. Binafsi nampa pole mlengwa na kama tujuavyo yakuwa "MAPENZI HAYALAZIMISHWI" .

Tatizo kubwa tunapenda kujaribu ili tuone matokeo, badala ya kuepuka matokeo kabla ya kujaribu.
 
Wasalaam,

Ni hivi kuna binti jirani alipata mchumba wa dini tofauti, na kijana alimpenda binti, kijana alibadili dini na ndoa ikafungwa.

Kumbe binti alikuwa na danga lake jibaba, danga likaenda nyumbani kwa wazazi wa binti na kuwaambia kuwa anamtaka mke wake na yupo tayari kurudisha gharama za harusi. Danga likaonyesha chatting za yeye na binti, binti anasema kuwa anampenda jibaba na kuhusu kuolewa alilazimishwa na mama take.

Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.

Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.


Tukio limetokea,wilaya ya Mbinga,na harusi imefungwa tarehe 13/7/2023
🤣🤣🤣🏃🏃
 
Back
Top Bottom