Kamkimbia mumewe baada ya harusi

Kamkimbia mumewe baada ya harusi

Wajinga wapogo siku zote. Unaachaje dini yako ukafuate ya mwanamke. Unajitutumua nn kuoa wakati dem hana muelekeo unaoenda ww lazima akuache na mwanamke asietaka kuolewa anajulikana vizuri tu ukilazimisha majanga yakija hayakwepeki. Hayo mambo ya sindano ya sumu kama vp afe tu hakustahili kuwa mwanaume hana misimamo yake huyo
 
Wasalaam,

Ni hivi kuna binti jirani alipata mchumba wa dini tofauti, na kijana alimpenda binti, kijana alibadili dini na ndoa ikafungwa.

Kumbe binti alikuwa na danga lake jibaba, danga likaenda nyumbani kwa wazazi wa binti na kuwaambia kuwa anamtaka mke wake na yupo tayari kurudisha gharama za harusi. Danga likaonyesha chatting za yeye na binti, binti anasema kuwa anampenda jibaba na kuhusu kuolewa alilazimishwa na mama take.

Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.

Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.
Inaonekana binti alimpenda jibaba,Ila huyo binti angeondoka tuu sio mpaka wamchome sindano ya sumu
 
Back
Top Bottom