Nani uyo? Kisumapai au kangaulaya?Ni wilaya ya mbinga, na huyo mbaba ni maarufu anamiliki mabasi
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
ChaiWasalaam,
Ni hivi kuna binti jirani alipata mchumba wa dini tofauti, na kijana alimpenda binti, kijana alibadili dini na ndoa ikafungwa.
Kumbe binti alikuwa na danga lake jibaba, danga likaenda nyumbani kwa wazazi wa binti na kuwaambia kuwa anamtaka mke wake na yupo tayari kurudisha gharama za harusi. Danga likaonyesha chatting za yeye na binti, binti anasema kuwa anampenda jibaba na kuhusu kuolewa alilazimishwa na mama take.
Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.
Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.
Namlaumu kijana kubadili dini kwa sababu ya K, atafute nyapu nyingine mbona zipo kibaoWasalaam,
Ni hivi kuna binti jirani alipata mchumba wa dini tofauti, na kijana alimpenda binti, kijana alibadili dini na ndoa ikafungwa.
Kumbe binti alikuwa na danga lake jibaba, danga likaenda nyumbani kwa wazazi wa binti na kuwaambia kuwa anamtaka mke wake na yupo tayari kurudisha gharama za harusi. Danga likaonyesha chatting za yeye na binti, binti anasema kuwa anampenda jibaba na kuhusu kuolewa alilazimishwa na mama take.
Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.
Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.
Kijana ni mpumbavu kaingiaje ma mzima wakati wanawake tunawajua? Mm siwez lazwa kwasababu ya mwanamke nikiona dalili namruhusu tu aende kuliko kuchomwa sindano ya sumu
Kuna mmoja ndio michezo yake kuiba wake za watu/wachumba za watuMtume Petro.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aise, kijana anapotea kisa mbususu yenye UTI na gono[emoji58]
Sasa chombo kama hicho kwenye avatar yako ntaachaje kujitutumua?Sometimes huwa mnaambiwa kabisa hawako tayari, Ila huwa mnajitutumua kuoa .
Ni wilaya ya mbinga, na huyo mbaba ni maarufu anamiliki mabasi
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kuna kitu niliandika ila nimefuta.Wasalaam,
Ni hivi kuna binti jirani alipata mchumba wa dini tofauti, na kijana alimpenda binti, kijana alibadili dini na ndoa ikafungwa.
Kumbe binti alikuwa na danga lake jibaba, danga likaenda nyumbani kwa wazazi wa binti na kuwaambia kuwa anamtaka mke wake na yupo tayari kurudisha gharama za harusi. Danga likaonyesha chatting za yeye na binti, binti anasema kuwa anampenda jibaba na kuhusu kuolewa alilazimishwa na mama take.
Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.
Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.
Ata usilaumu hao wanawake,maana jamaa ni bingwa wa kutumia nguvu za upande wa piliNi huyo, anawatumia na kuwabwaga.
CC. dr namugariWajinga wapogo siku zote. Unaachaje dini yako ukafuate ya mwanamke. Unajitutumua nn kuoa wakati dem hana muelekeo
Alafu usikute anangomaNi huyo, anawatumia na kuwabwaga.
Yule wa zile scania MarcopoloNi wilaya ya mbinga, na huyo mbaba ni maarufu anamiliki mabasi
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app