Kamkimbia mumewe baada ya harusi

Kamkimbia mumewe baada ya harusi

Naweka bango kubwa kabisa

7oreq4.jpg
 
Ata usilaumu hao wanawake,maana jamaa ni bingwa wa kutumia nguvu za upande wa pili
Ndiyo hivyo,inasemekana anatumia nyota za wadada,akikudaka atakutumia ukiisha anakubwaga,coz mtaani hapa wapo aliotoka nao na walikuwa wanatamba balaa,lakini Sasa wapo tu hawana mauzo.
 
Ndiyo hivyo,inasemekana anatumia nyota za wadada,akikudaka atakutumia ukiisha anakubwaga,coz mtaani hapa wapo aliotoka nao na walikuwa wanatamba balaa,lakini Sasa wapo tu hawana mauzo.
Kuna jamaa angu mmoja alikuwa anafanya kazi hospital ya wilaya mbinga mkewe alichukuliwa kimasihara na mmiliki wa coaster zinaitwa beyonce zinafanya safari ya mbinga to songea.
Baada ya miezi 3 mwanamke akapigwa chini yupo anatanga tanga hana mbele wala nyuma
 
Kuna jamaa angu mmoja alikuwa anafanya kazi hospital ya wilaya mbinga mkewe alichukuliwa kimasihara na mmiliki wa coaster zinaitwa beyonce zinafanya safari ya mbinga to songea.
Baada ya miezi 3 mwanamke akapigwa chini yupo anatanga tanga hana mbele wala nyuma

Ndoa chali na hana pakwenda? Si afadhali angechit kwa siri, halafu mbinga kahawa ikishaiva hua wanapagawa waume kwa wake, plus mahindi wanakua wehu kabisa
 
Kuna jamaa angu mmoja alikuwa anafanya kazi hospital ya wilaya mbinga mkewe alichukuliwa kimasihara na mmiliki wa coaster zinaitwa beyonce zinafanya safari ya mbinga to songea.
Baada ya miezi 3 mwanamke akapigwa chini yupo anatanga tanga hana mbele wala nyuma
Ndiyo huyo, wadada nao sijui wanarogwa? Yaani tabia yake hi inajulikana kabisa lkn wanajipeleka tu.
 
Ndoa chali na hana pakwenda? Si afadhali angechit kwa siri, halafu mbinga kahawa ikishaiva hua wanapagawa waume kwa wake, plus mahindi wanakua wehu kabisa
Hao hawanaga huo ujinga Ni watu makini kwakweli,
 
Na pisi za kutoka mikoa tofauti zinamwagika mbinga kuwinda pesa za wakulima.

Nakumbuka sana pisi za songea na mbinga zinaendajiuza mbeya na chunya halafu za mtwara, kilwa, lindi, iringa, njombe zinapishana mbinga, hivi mwanangu mmoja anaitwa dokela bado yupo? Jimama la mbinga na la mjini kwelikweli
 
Back
Top Bottom