Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,364
ExactlyMkuu Nemesis,upinzani mara nyingi huwa wanacheza muziki wa maCCM tena kwa tone ya maCCM. Uahauri wako ni wa maana sana kama ukitekelezwa. Wao wajikite kwenye issues zinazomgusa mwananchi wa kawaida na si makelele yasio na mashiko. Upinzani wakiacha "retaliations" za mapovu dhidi ya maCCM,wakaja na hoja za msingi,wananchi watawaelewa,na serikali ya maCCm pia itayafanyia kazi japokuwa huwa ni kwa mlango wa nyuma na kimyakimya ili upinzani usipate credits.