BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,005
Acha kuonyesha upumbavu wako!!! Kama huna cha maana cha kuandika ni bora ukae kimya.
Mkuu BAK, nakushukuru kuanza kuukubali ukweli mchungu!. Kwa vile Tanzania ni nchi ya wala rushwa, inamaa kiongozi bora wa nchi yetu ni yule anayejua kutumia vizuri hii rushwa na bingwa wa matumizi ya fedha anafahamika!. Nawaombeni sana, tuipuuzie kabisa ile kauli ya Baba wa Taifa kuhusu hawa watu wa "kuogopwa kama ukoma". Sasa ndio tuwapende kama mboni za macho yetu!.
Na maadamu Tanzania tumekubali kuwa ni nchi ya ufisadi!, then, kiongozi bora wa taifa hili, shurti awe pia ni bingwa wa ufisadi!, hivyo kuelekea 2015, Watanzania watanchagua kiongozi mwenye ubora wa vigezo hivyo!, wewe jiulize jee mgombea wako anavyo vigezo vya kuchagulika?.
Kama CCM ilipiga vuvuzela la kuchafuliwa na mapacha watatu!, kwa ni nini wasingeweka vigezo ile kuchafuliwa tuu, ni sababu tosha ya kutothubutu hata kuomba fomu ya kugombea, achilia kuijaza, kuirejesha, kupitishwa bila kupingwa na sasa ntu kama Chenge anasubiri tuu kutangazwa rasmi ndie mjumbe wa NEC!.
2015 ni CCM Tena!.
P.