Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 846
Watu wawili wanashikiliwa na Polisi kuhusiana na tukio lililotokea Weekend iliyopita ambapo Kambi ya jeshi ya wana maji iliyopo Simons town mjini Cape town Kuvamiwa na kuibwa UZI machine pistols, Zaidi ya70 hand grenades, and bullets. Hili ni tukio la aina yake kutokea na wananchi wanauliza imekuwaje kambi hiyo kuvamiwa na jeshi halikuwa na taarifa wala kifahamu uvamizi huo mpaka siku ya jumatatu.
source: www.facebook.com/tanzsauz
source: www.facebook.com/tanzsauz