Kambi hii ni halali kuwepo?

Kambi hii ni halali kuwepo?

Joined
Jul 31, 2015
Posts
11
Reaction score
2
Kuna kambi imewekwa na vijana wa CCM katika hotel inajulikana kama Rombo Plaza, inayomilikiwa na ndg Wiliam Kiwango, eneo la Shimbi katika wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro.

Leo ni siku ya tatu vijana hao wakiwa wamepiga kambi hapo na huwa wanafundishwa mazoezi mbalimbali ikiwemo kipiga push-up, kukimbia mchakamchaka kila asubuhi kuzunguka maeneo mbalimbali ya mtaa huu wakiwa wamevalia sare zao za CCM.

Vijana hao huwa hawaendi nyumbani, wanashinda na kukesha kambini hapo.

Simu yangu haina uwezo wa kuaplod picha, ningezitupia hapa.
 
Hiyo kambi kwa maelezo hayo uliyoweka ni halali kabisa.
Kama kuna hofu na hiyokambi ni kwa lipio, kupiga pushap kuwa hawaendi hom, kufanya mchakamchaka au lipi?
 
Nchi 2na chukua asubuhi na mapema amna mpinzani wa kuchukua nchi ccm mwaka huu mwisho 2me choka kod zote 2na lipa amna mnacho fanya zaidi ya barabara barabara zenyewe chini ya kiwango zaidi mna jinasi na familiy zenu wananchi wacheche twaumia 2me choka yatosha mkombozi we2 kaja kila ki2 kod bizaaa uki toa mkoa cod uki agiza cod nd'o kubwa kama nini mishara nd'o mna kata Kama nini! VAT nd'o mna kusanya Kama amna akili mnzuri mki ambiwa mwananchi Kama yeye adai vigezo kibao ili mradi mwichue karibu baba ye2 lowasa 2me chokaaaaassaasss
 
umekimbilia jf kufanya nini kama sio uchochezi.siku ya tatu bado hujapata camera? Hakuna kitu hapo ila mkiona ccm mnatetema tu
 
Ndio mana mkapa aliwaita wapumbavu.umekimbilia jf kufanya nini kama sio uchochezi.siku ya tatu bado hujapata camera? Hakuna kitu hapo ila tu wachaga mkiona ccm mnatetema tu

Vizuri sana
 
Back
Top Bottom