Kambi Gani ya JKT Inamafunzo Magumu?

Kambi Gani ya JKT Inamafunzo Magumu?

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,672
Reaction score
3,737
Kuna mdogo wangu amepata nafasi ya kujiunga na JKT amemaliza shahada mwaka Jana, sasa aliniuliza eti kambi ipi inamazoezi magumu.

Mimi sijapitia jeshi ila kwa kisikia kupitia marafiki wangu wengi wanasema JKT Mlale Songea, yeye amepangiwa Dodoma Makutupola kwa anayejua anihabarishe hebu
 
Kama alivyosema mkuu hapo juu,kiutaratibu syllabus moja inatumika kwa vikosi vyote kwa iyo ni eneo la kijiografia ndio litaamua ugumu au wepesi wa mafunzo though sometimes kamanda kikosi(commanding officer) na mkuu wa mafunzo(chief instructor) wanaweza kufanya kozi ikawa ngumu au nyepesi.Kwa kifupi aende tu haina kuotea hiyo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Na pia muambie huyo mdogo wako "anywe maji mengi"
 
Vp nikupe no ya igp .....

huku ni mkuu wa majesh co IGP kak mkubwa...swala la ugum wa kamb ukiachia geog ya sehem pia ni kama unaposoma shule mwl fulan mitihan yake migum kuliko mwngne...sawa na ma-MP(wakufunz) tu mnaweza kuwa mme kaa mnaambiwa twenden msitun kisha mkaambia hapa hakuna kulala ni kuimba tu mpaka kuche...kuchimba maandaki huku tawi zinatembea mgongon ila ni afadhar huku hakuna kukesha san kama jwtz kuna meng ni tofauti ni kama introductory part to jwtz ndo maana mnaambiwa mnajengew ujasiri...MWAMBIE KURUTA AKAZE MOYO YOTE YANAWEZEKANA BHANA DUNIA NI MOJA TU.
 
Ugumu wa kambi unatokana na eneo iliyopo hiyo kambi siyo mafunzo

Kambi zote mafunzo ni ya kiwango kile kile kisheria

Mafinga jkt ndo inasifika kwa "ugumu" kutokana na baridi la iringa
hilo nalijua lakini nasikia kuna kambi kama jkt ruvu pale ni mteremko sana,nasikia hats baadhi ya mafunzo huwa hawafanyi
 
hilo nalijua lakini nasikia kuna kambi kama jkt ruvu pale ni mteremko sana,nasikia hats baadhi ya mafunzo huwa hawafanyi

Hayo mapungufu yapo ila sio sera rasmi ya jeshi kuwa kambi flani flani ziwe ngumu na nyingine ziwe mteremko

Ndo mana kunakuwaga na watu wa military intel wapo imbeded ndani ya kuruti kuhakikisha order kutoka makao makuu inatekelezwa kiukamilifu mafunzo kwenda kama inavyotakiwa

CO(Commanding Officer) na CI(Chief instructor) ndo wahusika wakuu kuhakikisha mafunzo yanenda sawia kam mdau Ze Heby alichosema hapo juu
 
Sasa yeye anatafuta Ugumu wa kambi ndo aende au
 
Ur right, hakunaga kutofautiana kimafunzo jkt ukiona kambi nyingine kwepec bac wao watakuwa wameamua tu iwe hivyo otherwise syllabus sawa kwa kambi zote.hata km kambi ipo namanga geti limegusa kenya syllabus itakuwa ni ileile ya tz
 
Kuna mdogo wangu amepata nafasi ya kujiunga na JKT amemaliza shahada mwaka Jana, sasa aliniuliza eti kambi ipi inamazoezi magumu.

Mimi sijapitia jeshi ila kwa kisikia kupitia marafiki wangu wengi wanasema JKT Mlale Songea, yeye amepangiwa Dodoma Makutupola kwa anayejua anihabarishe hebu

Mabwepande Ndiyo Kiboko Ya Kambi Zote.........................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
824 kj hakunaga tz nzima(KANEMBWA)...mwambie "AFUNGUE MOYO"na anywe maji mengi
 
Naskia Bulombola JKT ndio pagumu sana ndani ya Kigoma hiyo. Kwanini Mnamshauri anywe maji mengi?? Ndio itapunguza ugumu wa mazoezi??
 
Kuna mdogo wangu amepata nafasi ya kujiunga na JKT amemaliza shahada mwaka Jana, sasa aliniuliza eti kambi ipi inamazoezi magumu.

Mimi sijapitia jeshi ila kwa kisikia kupitia marafiki wangu wengi wanasema JKT Mlale Songea, yeye amepangiwa Dodoma Makutupola kwa anayejua anihabarishe hebu

JKT segerea ndio hatari zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom