The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,263
Mkuu mie simchukii zitto hata kwa bahati mbaya!! Zitto ndio kiigizo changu ktk siasa za TZ na huo msemo ni wa kawaida saaana kama we ni msomaji wa vitabu vya zamanMkuu hata kama unamchukia Zitto tumia lugha za kiungwana.
Acha unafikiKamati ya Maendeleo ya jamii si ndio inahusika na kuhakikisha jamii inakuwa na vyoo bora? Aitumie hiyo kamati kuhakikisha wananchi wa lile jimbo alilolikimbia wanajifunza matumizi ya vyoo badala ya kwenda porini. Hususani maeneo ya Mwandiga. Wakati tunafikiria kujenga ma fly over ni aibu kwa wa TZ wenzetu kujisaidia porini. Najua alishindwa kufanya hayo wakati ule kwani alikuwa busy kutumikia vyama viwili Chadema na ccm
Mkuu mie simchukii zitto hata kwa bahati mbaya!! Zitto ndio kiigizo changu ktk siasa za TZ na huo msemo ni wa kawaida saaana kama we ni msomaji wa vitabu vya zamanMkuu hata kama unamchukia Zitto tumia lugha za kiungwana.
PAC anapewa Kubenea kutoka na elimu yake nadhani anafaa kuongoza hiyo kamati.
Ndio mkuu yupo kamati ya bunge maendeleo ya jamiiNaambiwa Zito kapigwa chini kamati muhimu
Kubenea na zzk.kamati.mojaKisiaza Zitto kapigwa kumbo kubwa sana maana kamati aliyokwenda sio kamati ya kuonekana mbele za umma sana yaani sio kamati ya runinga
Mwanasiasa kazi yake ni hiyo!Tunataka uwajibikaji wa kamati na si majina ya nani yuko hapa na nani kawekwa pale kuanzia wenyeviti na wajumbe wao.
Alafu hivi ni kwanini mtu ashukuru kupewa uenyekiti wa kamati fulani badala ya kufikiria mzigo aliobebeshwa?
Si bure kwenye hizi kamati kuna kitu.
Sasa Tanapa na NSSF...itakuwaje naalisha kula pesa yaoAfadhali Zitto kapelekwa mbali na PAC.
Umeua mkuu.Zito sio mpinzani asingepewa PAC/LAAC