Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,209
Wadau, kutokana na sarakasi zilizochezwa leo bungeni, nina wazo kwamba hatuna haja ya kuendelea kupoteza hela kwa kulipa kamati za bunge, kwa kuwa hazina impact yoyote kwa nchi.
Kama kamati za bunge zitakuwa zinazunguka kwenye migodi, maliasili, sijui huko bandarini, mashambani na kwingineko kote kutafuta ukweli wa mambo halafu ukiletwa serikalini hakuna kinachofanyika, ni za kazi gani sasa?
Na je next time kuna mtu atapoteza muda wake kukusanya data za uhakika ilihali anajua hazina kazi?
Kama kamati za bunge zitakuwa zinazunguka kwenye migodi, maliasili, sijui huko bandarini, mashambani na kwingineko kote kutafuta ukweli wa mambo halafu ukiletwa serikalini hakuna kinachofanyika, ni za kazi gani sasa?
Na je next time kuna mtu atapoteza muda wake kukusanya data za uhakika ilihali anajua hazina kazi?