JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..kitendo cha kuteua wabunge toka Zenj ktk kamati zisizoshughulikia masuala yaliyo ktk Muungano ni kukiuka mkataba na makubaliano ya Muungano wa Tanganyika na Zenj.
..pia wapiga kura wa Zenj wamewapigia kura wabunge wao waje kutetea masuala yao ktk bunge la Muungano. sasa wabunge hao wanapoteuliwa kwenye kamati ambazo zinashughulika na mambo ya Tanganyika, hamuoni kwamba ni dhuluma dhidi ya wapiga kura wa Zenj?
..pia wapiga kura wa Zenj wamewapigia kura wabunge wao waje kutetea masuala yao ktk bunge la Muungano. sasa wabunge hao wanapoteuliwa kwenye kamati ambazo zinashughulika na mambo ya Tanganyika, hamuoni kwamba ni dhuluma dhidi ya wapiga kura wa Zenj?