republicoftabora
Member
- May 9, 2012
- 59
- 15
Nazisoma hizi nyaraka za tuhuma za THA kutaka kunuwapa tenda ya dola milioni 600 kampuni ya kichina ifanye kazi ya dola milioni 300
sasa cha kujiuliza hivi hizo dola milioni 300 zilikuwa apewe nani? na je kama hatuwezi kuwa na imani na kamati za bunge tuwe na imani nani?
sasa cha kujiuliza hivi hizo dola milioni 300 zilikuwa apewe nani? na je kama hatuwezi kuwa na imani na kamati za bunge tuwe na imani nani?