M Mdavire Member Joined Jun 11, 2011 Posts 18 Reaction score 0 Nov 3, 2012 #1 Wakuu hivi ile kamati ya Mwakyembe iliyomtoa Lowasa ilikuwa inaitwaje nanaweza kuipata kwenye site gan?Msaada naomba.
Wakuu hivi ile kamati ya Mwakyembe iliyomtoa Lowasa ilikuwa inaitwaje nanaweza kuipata kwenye site gan?Msaada naomba.
Gaston Mbilinyi JF-Expert Member Joined Jan 24, 2010 Posts 296 Reaction score 51 Nov 4, 2012 #2 Mdavire said: Wakuu hivi ile kamati ya Mwakyembe iliyomtoa Lowasa ilikuwa inaitwaje nanaweza kuipata kwenye site gan?Msaada naomba. Click to expand... Mkuu, ni muhimu kusema kwanini unaihitaji; usijeeleweka kuwa unataka kuiandalia safari ya Mabwepande!
Mdavire said: Wakuu hivi ile kamati ya Mwakyembe iliyomtoa Lowasa ilikuwa inaitwaje nanaweza kuipata kwenye site gan?Msaada naomba. Click to expand... Mkuu, ni muhimu kusema kwanini unaihitaji; usijeeleweka kuwa unataka kuiandalia safari ya Mabwepande!
Ringo Edmund JF-Expert Member Joined May 10, 2010 Posts 4,879 Reaction score 1,134 Nov 4, 2012 #3 Huo mchezo mchafu wa 6 na rost tam na lowa baadae na njaa ya kaya hatutaki kuusikia tena.
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 60,412 Reaction score 88,732 Nov 4, 2012 #4 Mawaziri wapo wa3 tu? 1.Mwakyembe 2.Magufuli 3.Muhongo