Mbona hawajadili wakati TV zinapohoji watumia madawa ya kulevya, wazinzi au majambazi?
Watu wengi tunasoma vichwa vya habari na kujifanya tumesoma habari yote. Ingawa napingana na USHOGA ila sikuona mapungufu ya hicho kipindi. It was an eye opener kwetu wazazi. Kuna wakati hata Mtangazaji alijihisi vibaya na hata huyo shoga hakuwa anasifia ushoga bali alikuwa anatoa tahadhari. Kama utakumbuka kuna wakati aliulizwa kama angependa huyo mtoto atakayemzaa awe shoga alikataa kata kata.
Tatizo la hii media house wamekimbia mno hadi wamepitiliza kwao kutokana na sifa za uwongo kutoka kwa 'mtukufu' wa magogoni.TCRA hawawezi kufanya lolote..hii ndio TV pendwa ya Mkulu,mkuu wa Mkoa Dsm na Dc wa Kinondoni ilipo Radio.
Ndio Tv ambayo "mwenye nchi" alithibisha kuwa huitazama kwa sana,pengine na hicho kipindi cha Kaoge alikiona.Sasa wataweza kuifungia Tv pendwa ya boss??
''Kamati ya maadili ya wabunge"View attachment 361460 Kamati ya maadili ya wa bunge itajadili kitendo cha Clouds Tv kurusha mahojiano ya Godfrey Majunga maarufu kama Kaoge na itapeleka uamuzi wake TCRA
swahili times baby, don't you see the attachment?''Kamati ya maadili ya wabunge"
Ulitaka kumaanisha hivyo au ulitaka kumaanisha hivi..
''Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge"
Na majukumu ya hizo kamati unayajua??
Umesikia wapi??
....kamati kumjadili yule mkuu wa mkoa (sijui Pemba) aliyembaka mtoto wa mkewe!Kwani hiyo ni kamati ya maadili ya wabunge au ni maadili ya Tanzania? na kama huwa kuna maadili ya Tanzania, mbona sijawahi kusikia hiyo kamati wakiogelea maadili ya wazinzi, wabakaji, wafitini, wanafiki etc etc... Kwani haya maadili ya Tanzania huwa ni yapi?
Hivi ulimuona huyo Kaoge? Hivi mwanaume rijali unaweza kweli kum--- hata kama ni mpenzi wa hayo mambo? Nadhani wewe ni KE, hivi utajisikiaje ukiwa na mtoto kama kaoge si utampiga risasi afe kama baba yake marvin gaye alivyofanya! It is paining. Hivi huyo Kaoge si ni teja tu sijui. Lakini hiyo clip ilikuwa ni funzo kwetu wazazi na si busara kumwonea mtangazaji au Clouds TV. Kuna swali hakuuliza la msingi, jinsi alivyoanzaexactly kulikuwa na mafundisho mazuri, na mzazi ndie anachangia kwa kiasi kikubwa kuaribika kwa mtoto, wanaopinga itakuwa ndio wateja wao wazuri
Lilipotokea swala la wanachuo wa udom ila hili la KAOGE ndo hot cake mjengonSasa ishu ni nini, kwamba hao watu hawapo katika jamii au ishu ni kipindi kwenda hewan?
Si nimesikia mhimbili mpaka wanakitengo cha hao watu
Wanakimbia kivuli.