Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,862
Kamati ya Maadili imesema kitendo cha Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima kukataa vitu alivyoandaliwa kama ujeuri.
Gwajima alikataa kutumia kiti na kipaza sauti, siku ya nyingine alikataa kukaa chini kama alivyoelekezwa.
Aidha amesemwa kutojibu maswali kadiri yalivyoulizwa bali aling'ang'ania kuwa kiongozi wa dini.