Kamati ya kumfungia Diara mko wapi? Kama tatizo ni posho nitawalipa

Kamati ya kumfungia Diara mko wapi? Kama tatizo ni posho nitawalipa

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,913
Reaction score
133,926
Screenshot 2026-03-22 112131.jpg

Huwezi kutoka kwenu Mali kuja hapa kutukana watu na kukoromea marefa. Afungiwe haraka sana kuanzia mechi tano.

Mnasuburi nini mpaka muda huu? Kama hamna posho za kikao, semeni mimi nitawalipa
 
Kamati haitaweza kumfungia,hawana adhabu kwa mchezaji akionyesha kidole cha kati kwa waandishi wa habari.
 
Wacha wee
Kwamba leo una uchungu sana dhidi ya nidhamu ya diarra

Nyie hata akae masalanga golini hamuwezi kumfunga yanga
 
Back
Top Bottom