Kamati ya Januari imehongwa na Brigedia Al Adawi?

ulitaka uhongwe wewe??? tunachohitaji watanzania ni umeme na si siasa. haya muombe huyo Samwel sitta wako atuletee umeme sasa

Unaona kuhongwa dili eeh? Labda mwenzetu sijui wewe ni jinsia gani,manake hueleweki!!

sitta anahusikaje hapa? Au unazani hizo kamati zenu famfa za siasa ndio zitatuletea umeme? Hili swala sio la kisiasa,wahandisi kwanini wasipewe jukumu la kutoa permanent solution badala yake hawa penguins ndio wanajijadilisha mada ambayo uwezo wao wa kufikiri unawalimit???

Tanzania kila kitu siasa,hata visivowahusu utawaona viherehere vinawajaa,kisa kuna maslahi ya hapa na pale. Waende pale UDSM, kuna maprof kibao watawapa consultation even free of charge. Kuna engineers reg board waende pale. Eti,kamati imekaa,wao nani?? waongelee tu ufisadi wao sio umeme na solution zake..
 
Mimi nashindwa kumwelewa aliyeanzisha hii thread. Kuna thread nyingine alianzisha akidai January Makamba ndiye Obama wa Tanzania, sasa anakuja tena hii thread kuwa kamati ya J. Makamba imekula mlungula. Kama huku si kuchanganya watu ni nini?

January si msafi kumlinganisha na Obama. January Makamba is grubby, filthy like his father Makamba, Sr. and friends i.e JK, RA, EL.
 
Hivi wanashindwa nini kutaifisha hiyo mitambo wakati hali ni mbaya namna hii. na wawekezaji sasa wataanza kuondoka mmojammoja
 
Hamuwezi kutaifisha mitambo. Moja ya mambo ambayo yanatumaliza waafrika ni mtazamo wa muda mfupi. Leo Kikwete akisimama akasema 'tunataifisha mitambo ya dowans'

Wananchi wote watasea 'Weweeeeee!' nakupiga makofi... Matokeo yake Foreign Direct Investment itapotea over-night na hakuna mtu wemnye akili timamu atakae kuja wekeza Tanzania... Basi kwisha...! Simple as that. Na sisi watanzania tulivyo mahodari wa biashara (as if ujamaa haujatupumbaza katika elimu na utendaji wakibiashara na ujasiriamali) tutaanzisha biashara na kujenga uchumi wetu wenyewe..lol

Ili kuendelea katika karne hii chakwanza inabidi tuache falsafa za ujamaa na kuangalia zaidi swala jinsi ya kukuza uchumi wetu inavyotakiwa. We dont have to re-invent the wheel. Look at China, ujinga wa cultural revolution under Mao kidogo uwamalize, lakini 1981 wakatoa ujinga wote huo na kujenga uchumi imara. Hayo ndio mafunzo yakuiga sio kuleta ma theory yakina Marx ya 1800s. As the great John Nash said...

The best outcome results when one acts in his best interest (capitalism) and also that of everyone else (ultrusitic socialism). The Nash Equilibrium.

KK

Mkuu China hawana mchezo na mambo ya rushwa au negligence....unakumbu walimnyonga mkurugenzi wao wama madawa/vyakula (equivalent ya TFDA)...katika ile scandal ya maziwa ya ungay watoto........!!
 
Hamuwezi kutaifisha mitambo. Moja ya mambo ambayo yanatumaliza waafrika ni mtazamo wa muda mfupi. Leo Kikwete akisimama akasema 'tunataifisha mitambo ya dowans'

Wananchi wote watasea 'Weweeeeee!' nakupiga makofi... Matokeo yake Foreign Direct Investment itapotea over-night na hakuna mtu wemnye akili timamu atakae kuja wekeza Tanzania... Basi kwisha...! Simple as that. Na sisi watanzania tulivyo mahodari wa biashara (as if ujamaa haujatupumbaza katika elimu na utendaji wakibiashara na ujasiriamali) tutaanzisha biashara na kujenga uchumi wetu wenyewe..lol

Ili kuendelea katika karne hii chakwanza inabidi tuache falsafa za ujamaa na kuangalia zaidi swala jinsi ya kukuza uchumi wetu inavyotakiwa. We dont have to re-invent the wheel. Look at China, ujinga wa cultural revolution under Mao kidogo uwamalize, lakini 1981 wakatoa ujinga wote huo na kujenga uchumi imara. Hayo ndio mafunzo yakuiga sio kuleta ma theory yakina Marx ya 1800s. As the great John Nash said...

The best outcome results when one acts in his best interest (capitalism) and also that of everyone else (ultrusitic socialism). The Nash Equilibrium.

KK
hakuna anaye hubiri ukomonisti/ujamaa au kitu kama hicho. nafikiri wewe concept ya kutaifisha unaihusisha na ujamaa, hii ni fikra potofu. kutaifisha kunatokana na kufanya kitendo kinyume cha sheria. kama rushwa uongo nk. hata usa na ubepari wao wanayo sheria ya kutaifisha kwenye makosa ya uuzaji wa madawa ya kulevya, ku-finance terorrism nk
 
Hamuwezi kutaifisha mitambo. Moja ya mambo ambayo yanatumaliza waafrika ni mtazamo wa muda mfupi. Leo Kikwete akisimama akasema 'tunataifisha mitambo ya dowans'

KK

mitambo inaweza kukamatwa (seized) kama tungekuwa na viongozi wenye kutumia sheria zilizopo na wenye ujasiri wa kuonesha uongozi. Bahati mbaya hilo ni adimu kwa sasa.
 
Hivi mnajua hapa tunahangaika bure kudhani kwamba Brigedia kamhonga Makamba na Kamati yake. Brigedia hahitaji kumhonga yeyote kati ya wajumbe hao kwa sababu zifuatazo:

1. Yeye (Brigedia) siyo mmiliki wa Dowans. Mmiliki yuko hapa hapa.

2. Kamati hii ilihongwa siku nyingi pale watu walipopewa mshiko kumchagua Januari kuwa mwenyekiti wake. Jumla ya shilingi milioni 18 zilitumika kumuweka Januari kwenye kiti hicho.

3. Januari siku zote amekuwa ni kikaragosi wa RA na EL ambao ndiyo amekuwa akiwatumikia kwa kipindi chote hata alipokuwa ikulu na kupitia kwao ndiyo akaukwaa ubunge wa Bumbuli. Ni hao hao waliokuwa wanampigia debe aukwae uwaziri ili waweze kusukuma ajenda yao.

4. Hata ule waraka wake kuhusu nishati aliompelekea waziri wa Nishati na Madini ulitayarishwa na RA na ukapata input ya Kafulila na baadaye kupitishwa kwa mbunge rafiki wa kafulila na hatimaye kufikishwa kwa Januari. Lengo lilikuwa ni kupandisha profile yake ili akigombea uenyekiti aonekane ana ajenda ya kutatua kero ya nishati kumbe siyo kweli.

5. Kama alivyo EL, huyu dogo sasa amegauka kama ndiyo msemaji wa wizara (ni kama waziri) na vile vile ndiye mtendaji mkuu wa Tanesco maana anaingilia kazi za utendaji na kwake yeye, Kamati ya nishati na madini ni Tanesco. Mbona asiende Geita akajionee watu wanavyogeuka wakimbizi nchini kwao na hata wengine kurukwa na akili kutokana na kero ya uwekezaji wa kwenye madini? Nia hapa ni kusafisha njia kwa EL. Hii ni laundry mission ambayo hata hivyo itapigwa teke na watanzania hawa werevu!
 
mitambo inaweza kukamatwa (seized) kama tungekuwa na viongozi wenye kutumia sheria zilizopo na wenye ujasiri wa kuonesha uongozi. Bahati mbaya hilo ni adimu kwa sasa.

The most popular side isn't always the right side. Tunahitaji viongozi ambao wataacha kufanya siasa kwenye maslahi ya taifa na kufanya maamuzi magumu for the betterment of our country.
 
Mimi nashindwa kumwelewa aliyeanzisha hii thread. Kuna thread nyingine alianzisha akidai January Makamba ndiye Obama wa Tanzania, sasa anakuja tena hii thread kuwa kamati ya J. Makamba imekula mlungula. Kama huku si kuchanganya watu ni nini?

January si msafi kumlinganisha na Obama. January Makamba is grubby, filthy like his father Makamba, Sr. and friends i.e JK, RA, EL.

hujanielewa nisome vizuri aisee,akili zako kama avatar yako pole sana
 
visenti inaonekana wewe si mzalendo wewe unafikiri maendeleo ni kukubali kila kitu hata kama cha kifisadi.....KUKAA GIZANI SI shida ila inabidi tukikaa gizani viongozi wawe na majibu si mchezo hapa!
 
Ebu tueleze wako wapi unaowaita kama wawekezaji wa kweli.WAKO WAPI BWANA MDOGO??
Wezi tu, Richmond? je ni Dowans?? Are you serious bwana mdogo.
Au ni wale wanaoacha mashimo tupu Nyamongo, Buzwagi,Nyarugusu nk???? Mrahaba 3% tena basi imegundulikana zinatokana na mishahara ya wafanyakazi??????????????????!
Ebu sikiliza bwana mdogo nchi hii ITAJENGWA NA WAZALENDO KWA sera ya kujitegemea.
WAIBA MITAJI sio wawekezaji. WAKO wapi wawekezaji kwenye viwanda? Viko wapi viwanda lukuku vilivyobinafsishwa kwa wawekezaji? Interest yao ni tofauti kabisa .
Leo Prof. Shivji amelilalamikia hili kwamba tunaowaita wawekezaji kiukweli ni wezi tu.
Kama mtu hawezi kufikiri basi na uanze kwenda shule.
 
Hamuwezi kutaifisha mitambo. Moja ya mambo ambayo yanatumaliza waafrika ni mtazamo wa muda mfupi. Leo Kikwete akisimama akasema 'tunataifisha mitambo ya dowans'

Wananchi wote watasea 'Weweeeeee!' nakupiga makofi... Matokeo yake Foreign Direct Investment itapotea over-night na hakuna mtu wemnye akili timamu atakae kuja wekeza Tanzania... Basi kwisha...! Simple as that. Na sisi watanzania tulivyo mahodari wa biashara (as if ujamaa haujatupumbaza katika elimu na utendaji wakibiashara na ujasiriamali) tutaanzisha biashara na kujenga uchumi wetu wenyewe..lol

Ili kuendelea katika karne hii chakwanza inabidi tuache falsafa za ujamaa na kuangalia zaidi swala jinsi ya kukuza uchumi wetu inavyotakiwa. We dont have to re-invent the wheel. Look at China, ujinga wa cultural revolution under Mao kidogo uwamalize, lakini 1981 wakatoa ujinga wote huo na kujenga uchumi imara. Hayo ndio mafunzo yakuiga sio kuleta ma theory yakina Marx ya 1800s. As the great John Nash said...

The best outcome results when one acts in his best interest (capitalism) and also that of everyone else (ultrusitic socialism). The Nash Equilibrium.

KK

...Pumba. Mpaka sasa hatuna muwekezaji mwenye hadhi ya kuitwa muwekezaji ambaye atakimbia kwa sisi kutaifisha mitambo ya tapeli mmoja anayeishi miongoni mwetu. Sana sana tukiitaifisha mitambo hiyo ndio tutaanza kuheshimika kuwa hatufagilii rushwa na pengine, Pengine wawekezaji wenye heshima na wasiohitaji kutoa 10 percent ili kupata kazi wataanza kubisha hodi kwetu...!
 
Back
Top Bottom