Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,032
- 93,837
Uzimwe maana hauna faida yoyoteSaa 9 majaji ndio wanaapishwa bwashee!
Ok itakuwa two in one!
Chanjo haiepukiki lakini mwenge ungeweza kusubiri hadi mwakani!
Uzimwe maana hauna faida yoyoteSaa 9 majaji ndio wanaapishwa bwashee!
Ok itakuwa two in one!
Chanjo haiepukiki lakini mwenge ungeweza kusubiri hadi mwakani!
CNN MKUUIko live wapi hii?
Tulikuwa shimoni kabisa aseeBaada ya mda mrefu naona wataalam Tanzania wanaanza kurudia elimu zao! Sijui mwendazake angetuongoza kwa miaka mingine kumi ingekuwaje...
Ulitaka wafanyaje?Mbona ripoti wamepresent kishallow kupita kawaida. Kuna watu sisi ni madactari tulikua tunafuatilia hiyo ripoti. Imekua kama ripoti ya wanafunzi wa form 4
Naona mpaka bi miubwa kavaa barakoa amakweli Magu alikua anaipeleka hii nchi kwenye shimo.Saa 9 majaji ndio wanaapishwa bwashee!
Ok itakuwa two in one!
Chanjo haiepukiki lakini mwenge ungeweza kusubiri hadi mwakani!
Kwa hiyo mwenzako akilala njaa na wewe utalala njaa?Hapa atuna Rais,tuna rais wa tume,eti nchi itangaze kuwa tuna corona, wakati nchi nyingi zimeanza kuondokana na nyimbo hizo, Watu wanaanza kuchapa kazi, Sisi ndio tunaanza kuongopeshana.
Magu alikua anaipeleka hii nchi kwenye shimo.Kamati ya Corona imeishauri Serikali ya Tanzania;
1) Itangaze uwepo wa Corona
2) Iruhusu matumizi huru ya Chanjo sahihi za Corona
3) Ikubali maadhimio ya Kikanda na Kimataifa
4) Ipanue maktaba za kupima
5) Itoe takwimu sahihi za Corona
6) Tiba asili zitathiminiwe Kisayansi
View attachment 1788475
Yeye alipoumwa alikimbilia hosp badala ya hizo nyungu zakeHapo sawa sio tunadanganywa tupige nyungu
Yaani tumetoka mbali jsman