Kamati ya Bunge yabaini matumizi ya P2 yaongezeka

Ili kukabiliana na tabia hii Kamati imeshauri kwamba wakati wa kuuzwa kwa dawa hizi za kuzuia mimba (P2) ni vizuri zikauzwa pamoja na condom kwa lazima ili kuwawezesha Wasichana kuwa na tabia ya kutumia condom hizo bila ya kunyanyapaliwa kwani uzoefu unaonesha kwamba iwapo watakuwa na hizo kondomu basi Wasichana wengi watazitumia ili kupunguza maudhi na madhara ya dawa
Uwezo wao wa kufikiri ndiyo umeishia hapo!!!?, kwa akili hizo ipo siku watasema muuzaji akawasimamie kuhakikisha wanavaa kinga!!, kwakweli kusema hawa wamerogwa!!! Wanafahamu kwamba hao wanafunzi wanafahamu uwepo wa condom!? Unaweza kuwapeleka punda mtoni lakini wasinywe maji
 
Inabidi watafiti waingie mzigoni sasa watusaidie maana:-
1. Kuna maneno maneno kuwa siku hizi ndoa nyingi sana zinapata watoto kwa shida sana kutokana na madhara ya matumizi ya muda mrefu ya hizo P2. Inasemekana kuwa baadhi ya mabinti wanaanza matumizi ya P2 toka wapo shuleni mpaka wanapofika kuolewa. Sasa wanapoanza kutafuta watoto inakuwa ishu kutokana na madhara yatokanayo na matumizi ya muda mrefu ya hayo mavidonge kwani wazungu waliyatengeneza yatumike wakati wa "emergency" tu.
2. Pia kuna maneno kuwa madhara mengine ya matumizi ya muda mrefu ya hayo mavidonge ni kansa za kizazi kwa wanawake.

Ombi langu kwa wataalamu watupe ukweli kuhusiana na hayo madai mawili hapo juu kwani yanasemwa sana mitaani na watu hawana uhakika kama yana ukweli juu yake au ni stori tu za uzushi uswahilini.
 
Uwezo wao wa kufikiri ndiyo umeishia hapo!!!?, kwa akili hizo ipo siku watasema muuzaji akawasimamie kuhakikisha wanavaa kinga!!, kwakweli kusema hawa wamerogwa!!! Wanafahamu kwamba hao wanafunzi wanafahamu uwepo wa condom!? Unaweza kuwapeleka punda mtoni lakini wasinywe maji
ni kweli kabisa itabidi wawe wanawasimamia si wanafunzi na bakora kabisa akibisha kuvaa
 
Inabidi watafiti waingie mzigoni sasa watusaidie maana:-
1. Kuna maneno maneno kuwa siku hizi ndoa nyingi sana zinapata watoto kwa shida sana kutokana na madhara ya matumizi ya muda mrefu ya hizo P2. Inasemekana kuwa baadhi ya mabinti wanaanza matumizi ya P2 toka wapo shuleni mpaka wanapofika kuolewa. Sasa wanapoanza kutafuta watoto inakuwa ishu kutokana na madhara yatokanayo na matumizi ya muda mrefu ya hayo mavidonge kwani wazungu waliyatengeneza yatumike wakati wa "emergency" tu.
2. Pia kuna maneno kuwa madhara mengine ya matumizi ya muda mrefu ya hayo mavidonge ni kansa za kizazi kwa wanawake.

Ombi langu kwa wataalamu watupe ukweli kuhusiana na hayo madai mawili hapo juu kwani yanasemwa sana mitaani na watu hawana uhakika kama yana ukweli juu yake au ni stori tu za uzushi uswahilini.
ile ilitengenezwa kwa ajili ya dharura tu kama ulivyosema hapo na sio iwe mazoea ,kila dawa ina madhara yake
 
Si nasikia kwa mwaka unatakiwa kumeza mara 1...ukizidisha unachoma mayai..
Sio unasikia ndio hali halisi unatakiwa umeze mara 2 tu kwa mwaka, ndio mana ziko kwenye kundi la " EMERGENCY" Huku kwetu zinamezwa usiku na mchana
ile ilitengenezwa kwa ajili ya dharura tu kama ulivyosema hapo na sio iwe mazoea ,kila dawa ina madhara yake
ukiwaambia utaambulia maneno ya kebehi, kuna mdada anafanya nae kazi nilimwambiaga hata mimi imewahi kunidhuru madhara makubwa yaliyodumu miaka mi5 ,7 years ago akanambia panadol ina madhara, kila kitu kina madhara kwahiyo nipambane na hali yangu..
walinichangia kunikosoa jamani kama wanawake wa5 nikakoma na sitakaa nimshauri mtu kuhusu hilo tena.
 
Sio unasikia ndio hali halisi unatakiwa umeze mara 2 tu kwa mwaka, ndio mana ziko kwenye kundi la " EMERGENCY" Huku kwetu zinamezwa usiku na mchana

ukiwaambia utaambulia maneno ya kebehi, kuna mdada anafanya nae kazi nilimwambiaga hata mimi imewahi kunidhuru madhara makubwa yaliyodumu miaka mi5 ,7 years ago akanambia panadol ina madhara, kila kitu kina madhara kwahiyo nipambane na hali yangu..
walinichangia kunikosoa jamani kama wanawake wa5 nikakoma na sitakaa nimshauri mtu kuhusu hilo tena.
Polee madam...

Waachee.....majuto mjukuu
 
Sio unasikia ndio hali halisi unatakiwa umeze mara 2 tu kwa mwaka, ndio mana ziko kwenye kundi la " EMERGENCY" Huku kwetu zinamezwa usiku na mchana

ukiwaambia utaambulia maneno ya kebehi, kuna mdada anafanya nae kazi nilimwambiaga hata mimi imewahi kunidhuru madhara makubwa yaliyodumu miaka mi5 ,7 years ago akanambia panadol ina madhara, kila kitu kina madhara kwahiyo nipambane na hali yangu..
walinichangia kunikosoa jamani kama wanawake wa5 nikakoma na sitakaa nimshauri mtu kuhusu hilo tena.
Zilikusababishia nini? mkuu
 
Back
Top Bottom