PAULO WA MSALABA
Senior Member
- Apr 20, 2012
- 138
- 56
Bunge bhana. Siku mbili milioni. Wote tunakula ChakoNchako, tunalala Veta, tunatumia taxi za dom town, nyagi na bia za rose garden bei moja, club 84 bei moja, watoto wa Udom bei ileile nk kutwa nzima hata laki na nusu hujamaliza baada ya starehe zote hizi.
Balance laki tatu kwa siku. mara siku sitini milioni kumi na nane faida kwenye posho tu. Mungu akupe nini Tanzania?
Balance laki tatu kwa siku. mara siku sitini milioni kumi na nane faida kwenye posho tu. Mungu akupe nini Tanzania?