Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Wakuu nimepita kwenye viunga vya Morogoro na kukuta mabango yanayoonyesha kuwa KAMATI tendaji ya BAVICHA inakutana mjini Morogoro kwa siku tatu mfululizo.
Sijajua kuna nini ila nabashiri kuwa kutakuwa na kukuru kakara nyingi hususani JOHN HECHE Mwenyekiti na JULINA binti yule Makamu wake.
Kama kuna mtu anajua zaidi kinachoendelea ndani ya chombo hichi atujuze kwani vikao vya CHADEMA siku hizi vimekuwa na mambo ya kushtua sana.
Wabeja sana​
Sijajua kuna nini ila nabashiri kuwa kutakuwa na kukuru kakara nyingi hususani JOHN HECHE Mwenyekiti na JULINA binti yule Makamu wake.
Kama kuna mtu anajua zaidi kinachoendelea ndani ya chombo hichi atujuze kwani vikao vya CHADEMA siku hizi vimekuwa na mambo ya kushtua sana.
Wabeja sana​