Kamati tendaji BAVICHA kuunguruma mjini Morogoro

Kamati tendaji BAVICHA kuunguruma mjini Morogoro

wanachadema mimi ninaamini viongozi wa chadema ni watu makini kwa kiasi kikubwa sana, sasa hii habari inanitia wasiwasi isije kuwa ni janja ya hawa magamba maana ni hodari sana kwa kuvuruga vyama vya upinzani~takecare
 
lakini huyu aliyeleta habari hii ameifanyia upembuzi yakinifu au ni mmoja wa chama cha magamba? i don`t think that is true
 
Mods wamemuumbua TUNTEMEKE! VERY BIG BANNED!!!
 
Nasikia wewe ndo umeachiwa mikoba na yule mtabiri mashuhuri Afrika Mashariki na kati aliyefariki ambaye alitabiri kuwa yeyote atakayempinga JK lazima afe. Wewe mrithi wake umekuja na utabiri huo wa Chadema kufa mwaka huu, subiri tuone ila tumekusikia mganga wa kienyeji.

Major usiwashtue subiria maana yeyote anayeichimbia kaburi CDM lazima azame na tumzike, Mungu wetu ni mkuu na tunatetea nchi ili kila mmoja asijute kuzaliwa Tanzania
 
Hoja zako zote zinamhusu mtu mmoja tu? (Juliana). Unataka kutuambia kuwa baraza limekwenda kukaa Morogoro kwa ajili ya agenda moja tu ya kumjadili mtu? Hiyo siyo CHADEMA ninayoifahamu. Tafuta pa kupenyezea majungu hapo hapakufai.
 
Hivi jamani tatizo liko wapi!!? Hizi ajenda ulizotoa ni concrete mtu wa namna hii lazima aondoke tu!! Kwanza nawashangaa CDM kupoteza mda kujadili mtu wa namna hii!! Kwa upumbavu wa hivi ulitaka CDM wafanyeje!?

Mleta mada umedhihirisha wadudu walioko kichwani mwako kwa kutetea upuuzi!!

FUKUZA!! HATUTAKI UJINGA!
 
Wema wa Mshumaa kumulikia wenzako wakati unateteketea.......think otherwise
 
Duh Tuntemeke kaja na jina la Bashir!!! Nashukuru Mods wamegundua na kuunganisha post zake.
 
Vijana tufanye kazi.Siasa hizi za kijinga hazimsaidii kijana wa kule mtaani.

Wengine wameonyesha uwezo mkubwa kabisa wa kuwa obsessed na Ben Saanane...

Guys you can do better than thise
 
Vijana tufanye kazi.Siasa hizi za kijinga hazimsaidii kijana wa kule mtaani.

Wengine wameonyesha uwezo mkubwa kabisa wa kuwa obsessed na Ben Saanane...

Guys you can do better than this
 
Vijana tufanye kazi.Siasa hizi za kijinga hazimsaidii kijana wa kule mtaani.

Wengine wameonyesha uwezo mkubwa kabisa wa kuwa obsessed na Ben Saanane...

Guys you can do better than this
 
Vijana tufanye kazi.Siasa hizi za kijinga hazimsaidii kijana wa kule mtaani.

Wengine wameonyesha uwezo mkubwa kabisa wa kuwa obsessed na Ben Saanane...

Guys you can do better than this
 
Vijana tufanye kazi.Siasa hizi za kijinga hazimsaidii kijana wa kule mtaani.

Wengine wameonyesha uwezo mkubwa kabisa wa kuwa obsessed na Ben Saanane...

Guys you can do better than this

Kama yana ukweli ni muhimu yakafanyiwa kazi.
 
Kuna wengine hapa hawawezi kujadili bila kuonyesha uwezo wao mkubwa wa kuwa obsessed na Ben Saanane

Guys you can do better than this.Tujadili issues zitakazosaidia vijana huku mitaani.Tuache siasa hizi za kijinga za kupakana matope
 
Kuna wengine hapa hawawezi kujadili bila kuonyesha uwezo wao mkubwa wa kuwa obsessed na Ben Saanane

Guys you can do better than this.Tujadili issues zitakazosaidia vijana huku mitaani.Tuache siasa hizi za kijinga za kupakana matope
 
Kama ndiyo hivyo, hii Chadema itakufa tu mwaka huu.

Halafu CCM wafurahi kwamba vijana wao wamefanikisha kazi yao..I wish ungejua maana na nia ya kuanzisha vyama vya upinzani Tanzania. Siku upinzani ukiondoka usitegemee uwajibikaji kwa viongozi wetu..Kama inafikia wakuu wanatuambia hawajui mmiliki wa Richmond at the same time timewalipa 95b kama fidia recently..Hii inanipa wasiwasi!!
 
Duh Tuntemeke kaja na jina la Bashir!!! Nashukuru Mods wamegundua na kuunganisha post zake.
I wish ningemjua Tuntemeke, sijui yuko chama gani. kama yuko CDM naona atakuwa amekosea coz sijwahi ona ameandika mada yeyote inayolenga kuijenga CDM ila kuibomoa..Profesionally anapenda sana majungu..Anasabisha hata sisi ambao hatupendi siasa tuendelee kuichukia zaidi!!
 
Hoja zako zote zinamhusu mtu mmoja tu? (Juliana). Unataka kutuambia kuwa baraza limekwenda kukaa Morogoro kwa ajili ya agenda moja tu ya kumjadili mtu? Hiyo siyo CHADEMA ninayoifahamu. Tafuta pa kupenyezea majungu hapo hapakufai.

Vijana mnatukatisha tamaa sana: Shortcuts zenu hazitawasaidi..Baada ya kuharibu mnaanza kutafuta huruma ya wanaJF.. hata siku moja CDM haiwezi kufika mbali kama viongozi hawaheshimiani!! Kila mmoja anajiona anaweza mwisho wa siku mnaharibu!!
 
Back
Top Bottom