Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), imekutana katika kikao chake maalum, siku ya leo Jumatano Agosti 15/2018, kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali muhimu kuhusu chama na taifa kwa ujumla.