Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana Kigoma

Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana Kigoma

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,430
Reaction score
283,695
TAARIFA ikufikie popote ulipo kwamba Kama Kuu ya CHAMA kikuu cha SIASA Nchini Tanzania inakutana Mjini Kigoma kwenye ofisi ya Kisiasa ya Kanda ya Magharibi

Screenshot_20260630-150241~2.png
Screenshot_20260630-150238~2.png
Screenshot_20260630-150232~2.png
Screenshot_20260630-150241~3.png


USIONDOKE JF KWA TAARIFA KAMILI
 
Jambo jema, kuwepo mbadala endapo polisi watazuia
kikao kiendeshwe hata kielectroniki kama agenda hazina madhara kisheria na kiusalama
 
hahaha! Kigoma mwisho wa reli. Safari ijayo mfanyie Sumbawanga mpakani mwa nchi jirani!
 
Erythrocyte , kuna siku za karibuni nilitoa ushauri kuwa diaspora waombe kuonana na Ted Cruz. Kweli wakaonana naye. Inawezekana ilikuwa coincidence, lkn la msingi ni kuwa walikuwa na wazo kama langu.
Sasa nyie viongozi wahimize waombe audience na Trump.
Timu zingine ziende Ulaya ie EU and the like
 
Erythrocyte , kuna siku za karibuni nilitoa ushauri kuwa diaspora waombe kuonana na Ted Cruz. Kweli wakaonana naye. Inawezekana ilikuwa coincidence, lkn la msingi ni kuwa walikuwa na wazo kama langu.
Sasa nyie viongozi wahimize waombe audience na Trump.
Timu zingine ziende Ulaya ie EU and the like
Naunga mkono hoja. Ni wazo zuri sana
 
Erythrocyte , kuna siku za karibuni nilitoa ushauri kuwa diaspora waombe kuonana na Ted Cruz. Kweli wakaonana naye. Inawezekana ilikuwa coincidence, lkn la msingi ni kuwa walikuwa na wazo kama langu.
Sasa nyie viongozi wahimize waombe audience na Trump.
Timu zingine ziende Ulaya ie EU and the like
Nishampa ujumbe wako Liberatus Mwang'ombe
 
Back
Top Bottom