Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,666
- 218,167
Uchaguzi wa viongozi wa Chadema Taifa umeshika kasi , tayari Kamati kuu ishaanza vikao vya usaili wa walioomba uongozi wa juu
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa zaidi .
======
Kamati Kuu ya (CHADEMA) Taifa inaketi leo Jumatatu Disemba 16, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, agenda kuu ikiwa ni kuchambua na kufanya usaili wa wanachama waliochukua, kujaza na kurejesha fomu za kuwania uteuzi wa kugombea uongozi ngazi ya taifa, katika nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Taifa, Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Tanzania bara na Zanzibar) huku ikifanya uteuzi wa wagombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu.
Picha : Mbowe akijieleza mbele ya wajumbe baada ya kuachia kiti chake na kikao kuongozwa na Mwenyekiti wa Wazee
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa zaidi .
======
Kamati Kuu ya (CHADEMA) Taifa inaketi leo Jumatatu Disemba 16, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, agenda kuu ikiwa ni kuchambua na kufanya usaili wa wanachama waliochukua, kujaza na kurejesha fomu za kuwania uteuzi wa kugombea uongozi ngazi ya taifa, katika nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Taifa, Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Tanzania bara na Zanzibar) huku ikifanya uteuzi wa wagombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu.
Picha : Mbowe akijieleza mbele ya wajumbe baada ya kuachia kiti chake na kikao kuongozwa na Mwenyekiti wa Wazee