<br />Duu jf tunabidi tujipange tena. haiwezekan mpaka muda huu hatujajua kitu. vijana dom fanyeni mambo.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Dom wamelogwa na ccm. Ni moja ya mikoa mitiifu kwa ccm.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Sio wote mkuu wana utiifu huo kama unavyogeneralize pia niko Dom na sipo hvyo,it seems watu wa usalama wamesoma mambo ya humu ndani so kama Wa kusoma anavyosema jamaa humo ndani wamenyimwa yaliyosemwa hapo juu,so tutulie wakitoka tu humu ndani full mihabari
hawezi kujitokeza maana imekula kwake anawaza jinsi ya kutudanganya hapa jamviniJamani faizafox yukowapi leo? Mbna hajajitokeza hp jf kutupa yalilojiri kwny kikao chao??
Duu jf tunabidi tujipange tena. haiwezekan mpaka muda huu hatujajua kitu. vijana dom fanyeni mambo.
Kuhusu Rost aliitwa awepo nchini lakini tangu JK aripoti dom juzi yasemekana jamaa hawezi tua nchini,na pili khs jimbo la Igunga sera iliyopo pale ni kwamba kampeni ya CUF iko juu asilimia 95% na CCM wanaumia vichwa wamuweke nani kwani wenyeji wanataka muislamu tu,tatu khs umeme kima cha maji mtera kinazidi kushuka toka meta za ujazo 90.5 kinaelekea 90 na at that level production activity ya umeme TANESCO inasimama kabisa hivyo wanahaha juu ya IPTL inayohitaji bil 7 za gesi huku kamati ya January ikidai fedha isitoke wajiendeshe kwa tax heaven waliyohujumu,nne khs Chenge hakuna jinsi ya kumvua gamba ndiye tegemeo pekee la legal consultancy nchini...DPP comments ila LWS ajiweke vzr,na khs JAIRO ushahidi hautoshelezi
wewe watu wa ID zaidi ya kumi humu we muomde tu ms ajitokeze na ID aliyojificha nayoMALARIA SUGU amepigwa ban sasa nani mwingine atakayetupa taarifa? Faizafox, Omr, Kishongo ataabu tupu.
<br />Taarifa rasmi baada ya nusu saa, kikao bado kinaendelea. Lakini habari zisizo rasmi zinasema kuna kutokuelewana kati ya Mwenyekiti na baadhi ya wajumbe. Kikwete ameleta hoja ya kumbembeleza Rostam Aziz awasaidie kampeni na hapo ndipo wajumbe walilipuka kwa hasira na baadhi kutoka nje kwa dharau.