Kamati kuu ya CCM trh 30.7.2011

Kamati kuu ya CCM trh 30.7.2011

Kuwadanganya watz juu ya nn mkuu? Wanajadili nn ili watz wadanganyike mkuu? Tupe mambo hapa ndio Jf
 
MALARIA SUGU amepigwa ban sasa nani mwingine atakayetupa taarifa? Faizafox, Omr, Kishongo ataabu tupu.
Mkuu MS alibadili akaanza kujiita Mhadhili akapigwa ban kala kona sasahivi anajiandaa kuja na nembo mpya. Humu ndani ya JF amebakia Faizafox.
 
yote haya wadau mna guess tu. Habari za uhakika kuna mkorogano mkubwa sana kwa E. L jana kakacha kikao cha kamati ya maadili. watu wanapasuana humo ndani mbaya kabisa
 
hawana jipya wanapoteza muda na kujiandaa kuwa chama cha upinzani maana kila kona wamekabwa koo.
 
yote haya wadau mna guess tu. Habari za uhakika kuna mkorogano mkubwa sana kwa E. L jana kakacha kikao cha kamati ya maadili. watu wanapasuana humo ndani mbaya kabisa
<br />
<br />
Poa mkuu tujuze zaidi yanayotokea hapo ulipo apart from haya uloyayackia mkuu
 
Wapo katika wakati mgumu sana, tusubiri taarifa za huko...
 
Ningekuwa mimi ndie mwenyekiti, kitu cha kwanza nikevunja sekretarieti kwa kuwa haina msaada zaidi ya kuaribu chama na kuongeza mpasuko ndani ya chama
 
Gamba moja limejingo'a yaliyobaki yang'olewe kwa nguvu
 
Naam hilo khs SUNGURA WETU MDOGO hakui ni muhimu sana kulizungumzia ktk kikao chao cha CC...... aksante mwana JF dawa ya malaria!!!!

Tusubirini wana jamvi tuhabarishwe kilichozunguzwa ktk hicho kikao!!!
 
Jamani faizafox yukowapi leo? Mbna hajajitokeza hp jf kutupa yalilojiri kwny kikao chao??
 
hawana jipya wanapoteza muda na kujiandaa kuwa chama cha upinzani maana kila kona wamekabwa koo.

Mkuu mi nadhani wanadiscuss jinsi watakapoanza maisha ya kuwa chama cha upinzani hahaaaaaa! tumewashtukiaaaaa!
 
Mkuu ndo kwanza hatujaanza hata agenda moja,wajumbe wote hatujui agenda ni zipi wanaojua ni mwenyekiti na katibu pekee lakini kikubwa wajumbe wote tunataka kufahamu sababu inayofanya Sungura wetu asikue kwa miaka 50 sasa,chanzo nini

(1)Asili yake
(2)Wafugaji wameshindwa kumtunza

Tutaendelea kujuzana.
Wafugaji wa kukodishwa akina bora mimi, ingawa fani yao hasa ni wachinja kuku.
 
Wanamsihi Rostam awasaidie uchaguzi mdogo Igunga naye kawatolea nje,kazi kwelikweli.
 
Wengi tuko mbali, tunaomba taarifa nini kimejiri ktk kikao cha kamati kuu (CC) ya CCM, miongoni mwa hadidu rejea:<br />
<br />
1. Jairo<br />
2. Kujiuzulu kwa Rostam<br />
3. Umeme<br />
4. Sitta na wenzie kujiunga na CCJ
<br />
<br />
kusanyiko la mapungua
 
Wengi tuko mbali, tunaomba taarifa nini kimejiri ktk kikao cha kamati kuu (CC) ya CCM, miongoni mwa hadidu rejea:
1. Jairo
2. Kujiuzulu kwa Rostam
3. Umeme
4. Sitta na wenzie kujiunga na CCJ
Jairo anahusikaje hapa?
 
ONYO: Usifikirie, usijaribu kutenda na kuamua kama mbunge wa C.C.M
 
Back
Top Bottom