Kamati Kuu kukata jina la Lowassa

Kamati Kuu kukata jina la Lowassa

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
25,995
Reaction score
25,388
Kufuatia kikao cha Kamati Kuu ya CCM kinachofanyika huko Zanzibar, kuna uwezekano mkubwa jina la Lowassa likakatwa kutoka kwenye orodha ya wanaCCM watakaopeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2015.

Hii ni kwa sababu baada ya yeye na makada wengine kufungiwa kwa muda wa mwaka mmoja kwa sababu ya kuanza "mbio" mapema, bado aliendelea kujifanyia kampeni kama kawaida.

Chanzo: RFA

:israel:
 
Kufuatia kikao cha Kamati Kuu ya CCM kinachofanyika huko Zanzibar, kuna uwezekano mkubwa jina la Lowassa likakatwa kutoka kwenye orodha ya wanaCCM watakaopeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2015. Hii ni kwa sababu baada ya yeye na makada wengine kufungiwa kwa muda wa mwaka mmoja kwa sababu ya kuanza "mbio" mapema, bado aliendelea kujifanyia kampeni kama kawaida.

Chanzo: RFA

:israel:

Jina likatwe wapi? Hivi kumbe CCM wameshatoa fomu za wagombea urais??
 
CC ya CCM na mizengwe yake chini ya wanaomchukia Lowassa, watu wenyewe wanafahamika, ni baadhi tu, wanahesabika chuki yao ni dhahiri lakini wao siyo wananchi na I wala siyo Mungu! Kila kona ya nchi hii Lowassa Lowassa .................. watu wamechoka wamekata tamaa mpeni Lowassa wao.

Nilicho kigundua hivi karibuni wananchi wengi ndani na nje ya CCM wanamhitaji Lowassa. Waliokuwa wanamchafua Lowassa wananchi wamewashutukia kuwa wanafanya hivyo wakiwa na agenda za siri!

Sasa imefika wakati maji haya masafi (Lowassa) yaendayo kasi iliyojaa matumaini mengi Kwa watanzania, kasi yake haizuiliki. Watakapo jaribu kuyazuia kujenga bwawa litalete mafuriko makubwa na yatakayo sababisha madhara makubwa hasa CCM. Maji haya yaachiwe yafuate mkondo wake.

Mkondo huo ni njia ya demokrasia, tusiwe na double standards, wagombea wote wapewe nafasi tuwafahamu ili tuweze kufanya maamuzi sahihi!
 
Mungu akupe subila mh.lowasa, na uendelee na ukimwa wako bila kujibu ila mapambano yaendelee cc tunasubilia ushindi wa tsunami ili wajue kuwa unakubalika na unauzika ila watu tunaogopa tu kusema maana kuna viongozi wanatulazimisha tusikuchague. Hakuna mwingine atakae weza fikisha hata nusu za hoja zako.
Safari ya matumaini
 
CC ya CCM na mizengwe yake chini ya wanaomchukia Lowassa, watu wenyewe wanafahamika, ni baadhi tu, wanahesabika chuki yao ni dhahiri lakini wao siyo wananchi na I wala siyo Mungu! Kila kona ya nchi hii Lowassa Lowassa .................. watu wamechoka wamekata tamaa mpeni Lowassa wao.

Nilicho kigundua hivi karibuni wananchi wengi ndani na nje ya CCM wanamhitaji Lowassa. Waliokuwa wanamchafua Lowassa wananchi wamewashutukia kuwa wanafanya hivyo wakiwa na agenda za siri!

Sasa imefika wakati maji haya masafi (Lowassa) yaendayo kasi iliyojaa matumaini mengi Kwa watanzania, kasi yake haizuiliki. Watakapo jaribu kuyazuia kujenga bwawa litalete mafuriko makubwa na yatakayo sababisha madhara makubwa hasa CCM. Maji haya yaachiwe yafuate mkondo wake.

Mkondo huo ni njia ya demokrasia, tusiwe na double standards, wagombea wote wapewe nafasi tuwafahamu ili tuweze kufanya maamuzi sahihi!
Mkuu ccm ni watu makini,na huwa hawana kigeugeu,tulishasema hakuna rais kutoka kaskazini!!nyie watu huwa hamuelewi?
 
Mungu akupe subila mh.lowasa, na uendelee na ukimwa wako bila kujibu ila mapambano yaendelee cc tunasubilia ushindi wa tsunami ili wajue kuwa unakubalika na unauzika ila watu tunaogopa tu kusema maana kuna viongozi wanatulazimisha tusikuchague. Hakuna mwingine atakae weza fikisha hata nusu za hoja zako.
Safari ya matumaini
Hebu weka hizo hoja zake hapa?hoja au vioja?
 
swali lakujiuliza hapa ni kwamba je ccm itaathirika kias gan kutokana na kumfuta kabisa mh lowassa katika ramani ya urais
 
CC ya CCM na mizengwe yake chini ya wanaomchukia Lowassa, watu wenyewe wanafahamika, ni baadhi tu, wanahesabika chuki yao ni dhahiri lakini wao siyo wananchi na I wala siyo Mungu! Kila kona ya nchi hii Lowassa Lowassa .................. watu wamechoka wamekata tamaa mpeni Lowassa wao.

Nilicho kigundua hivi karibuni wananchi wengi ndani na nje ya CCM wanamhitaji Lowassa. Waliokuwa wanamchafua Lowassa wananchi wamewashutukia kuwa wanafanya hivyo wakiwa na agenda za siri!

Sasa imefika wakati maji haya masafi (Lowassa) yaendayo kasi iliyojaa matumaini mengi Kwa watanzania, kasi yake haizuiliki. Watakapo jaribu kuyazuia kujenga bwawa litalete mafuriko makubwa na yatakayo sababisha madhara makubwa hasa CCM. Maji haya yaachiwe yafuate mkondo wake.

Mkondo huo ni njia ya demokrasia, tusiwe na double standards, wagombea wote wapewe nafasi tuwafahamu ili tuweze kufanya maamuzi sahihi!

Ni Lowassa peke yake anayeweza kuandika kujifagilia hivi...hata mkewe haamini hiki kilichoandikwa hapa!
 
Mkuu ccm ni watu makini,na huwa hawana kigeugeu,tulishasema hakuna rais kutoka kaskazini!!nyie watu huwa hamuelewi?

usiwe mjinga kama mbayuwayu usilete ukabila wako humu

lowassa ndio mtu pekee mwenye mvuto ndani ya ccm na cc hlo ndilo tunajua sisi na ndiye Raisi wako wa awamu ya tano

hutaki!! JIPANGE KISAIKOLOJIA
 
CC ya CCM na mizengwe yake chini ya wanaomchukia Lowassa, watu wenyewe wanafahamika, ni baadhi tu, wanahesabika chuki yao ni dhahiri lakini wao siyo wananchi na I wala siyo Mungu! Kila kona ya nchi hii Lowassa Lowassa .................. watu wamechoka wamekata tamaa mpeni Lowassa wao.

Nilicho kigundua hivi karibuni wananchi wengi ndani na nje ya CCM wanamhitaji Lowassa. Waliokuwa wanamchafua Lowassa wananchi wamewashutukia kuwa wanafanya hivyo wakiwa na agenda za siri!

Sasa imefika wakati maji haya masafi (Lowassa) yaendayo kasi iliyojaa matumaini mengi Kwa watanzania, kasi yake haizuiliki. Watakapo jaribu kuyazuia kujenga bwawa litalete mafuriko makubwa na yatakayo sababisha madhara makubwa hasa CCM. Maji haya yaachiwe yafuate mkondo wake.

Mkondo huo ni njia ya demokrasia, tusiwe na double standards, wagombea wote wapewe nafasi tuwafahamu ili tuweze kufanya maamuzi sahihi!

Wewe ni fungus na herpes. Nenda hospitali, ushauri wa bure la sivyo 'mauti' yatakukuta.
 
hivi watanzania ni wajinga kiasi gani mpaka wampe slaa urais??????

Kwani watanzania ni wajinga kiasi gani mpaka waendelee kuichagua ccm?zama za uijnga zimeshapita ndugu,watanzania wengi hivi sasa wanajitambua,mtaji wa ccm ulikuwa ni uijnga wa watz,kwasasa mtaji umeisha.
 
Back
Top Bottom