Kamati Kuu Chadema yakutana, kujadili #COVID19 na Hali ya Siasa Nchini

CHADEMA

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
488
2,468
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumamosi, Mei 9, 2020, ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, imeanza vikao vyake vya ki-digitali (Chadema Digital).

Vikao hivi vitajadili Agenda mbalimbali ikiwemo Hali ya Janga la Corona na Hali ya Siasa nchini na kufikia maazimio mbalimbali ambayo yatatolewa kwa umma baada ya vikao kukamilika.

Kufanyika kwa mfululizo kwa vikao hivi kwa njia ya mtandao, Chadema imetekeleza kwa vitendo, ushauri ambao Chama kimekuwa kikitoa kwa Serikali na Bunge katika kuchukua tahadhari ya kupunguza mikusanyiko katika kuendesha shughuli zake, ili kusaidia wahusika kujikinga dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19.

Imetolewa leo Jumamosi, Mei 9, 2020 na;

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
IMG-20200509-WA0037.jpg
IMG-20200509-WA0038.jpg
IMG-20200509-WA0039.jpg
IMG-20200509-WA0040.jpg
IMG-20200509-WA0041.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumamosi, Mei 9, 2020, ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, imeanza vikao vyake vya ki-digitali (Chadema Digital).

Vikao hivi vitajadili Agenda mbalimbali ikiwemo Hali ya Janga la Corona na Hali ya Siasa nchini na kufikia maazimio mbalimbali ambayo yatatolewa kwa umma baada ya vikao kukamilika.

Kufanyika kwa mfululizo kwa vikao hivi kwa njia ya mtandao, Chadema imetekeleza kwa vitendo, ushauri ambao Chama kimekuwa kikitoa kwa Serikali na Bunge katika kuchukua tahadhari ya kupunguza mikusanyiko katika kuendesha shughuli zake, ili kusaidia wahusika kujikinga dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19.

Imetolewa leo Jumamosi, Mei 9, 2020 na;

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
View attachment 1445175View attachment 1445180View attachment 1445181View attachment 1445182View attachment 1445183
Sent using Jamii Forums mobile app

Hongera sana CHADEMA
 
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumamosi, Mei 9, 2020, ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, imeanza vikao vyake vya ki-digitali (Chadema Digital).

Vikao hivi vitajadili Agenda mbalimbali ikiwemo Hali ya Janga la Corona na Hali ya Siasa nchini na kufikia maazimio mbalimbali ambayo yatatolewa kwa umma baada ya vikao kukamilika.

Kufanyika kwa mfululizo kwa vikao hivi kwa njia ya mtandao, Chadema imetekeleza kwa vitendo, ushauri ambao Chama kimekuwa kikitoa kwa Serikali na Bunge katika kuchukua tahadhari ya kupunguza mikusanyiko katika kuendesha shughuli zake, ili kusaidia wahusika kujikinga dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19.

Imetolewa leo Jumamosi, Mei 9, 2020 na;

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
View attachment 1445175View attachment 1445180View attachment 1445181View attachment 1445182View attachment 1445183
Sent using Jamii Forums mobile app
KUB mpya mh Lwakatare anawahitaji bungeni siku ya jumatatu 11/05/2020 bila kukosa!
 
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumamosi, Mei 9, 2020, ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, imeanza vikao vyake vya ki-digitali (Chadema Digital).

Vikao hivi vitajadili Agenda mbalimbali ikiwemo Hali ya Janga la Corona na Hali ya Siasa nchini na kufikia maazimio mbalimbali ambayo yatatolewa kwa umma baada ya vikao kukamilika.

Kufanyika kwa mfululizo kwa vikao hivi kwa njia ya mtandao, Chadema imetekeleza kwa vitendo, ushauri ambao Chama kimekuwa kikitoa kwa Serikali na Bunge katika kuchukua tahadhari ya kupunguza mikusanyiko katika kuendesha shughuli zake, ili kusaidia wahusika kujikinga dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19.

Imetolewa leo Jumamosi, Mei 9, 2020 na;

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
View attachment 1445175View attachment 1445180View attachment 1445181View attachment 1445182View attachment 1445183
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana chadema
Jamaa mmemshika pabaya hadi ameamua kuvunja katiba ya nchi na sheria zake akimtumikisha yule spika kama mtu aliyepagawa na pepo la kutokujali.
Chadema shikilieni hapo hapo
Msiachie ssileta yaani.
Mmewabana hadi wameamua kuendesha nchi kienyeji.
Dawa za kienyeji za madagaska ni dalilil za kuishiwa pumzi kwa serikali hadi kuchagua dawa isiyothivitika kitaalamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom