Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
Tutaungana nanyi hivi karibuni tena huko vijijini. Asante sanaKila La Kheri Makamanda, nasi huku vijijini tunazidi kukiuza chama kwa wapga kura, waalahi mwaka huu FISIccm hawana chao
Chadema msiyakimbieni haya maswali leteni majibu msijilazimishe kuvaa koti lenye chawa kisa mnaikimbia Nguvu ya wazalendo. Jibuni haya
Nataka kurudi Chadema mara baada ya .....
Nitayaamini maneno yanayotolewa na wanachadema siku siku haya maswali yakipatiwa majawabu
Natamani sana kuwa Kamanda lakini haya yananitatanisha,naombeni majibu ili nifanye maamuzi magumu.
1.Walituambia kuwa chama cha wananchi CUF ni tawi la ccm,wakaenda mbali kwa kuwaita kuwa ni chama cha Mashoga ghafla wakasahau matusi yao na wakaanza mashirikiano Mapya,Je ile tuhuma iliishia wapi?
2.Chadema walituaminisha kuwa Chama cha NCCR mageuzi kimejaa Usalama wa Taifa,wakaenda mbali wakamkejeli Mbatia, tena ndani ya Bunge kuwa,yupo Upinzani huku akiitumikia ccm,ghafla tu Mbatia ni Mshirika namba Mbili wa Ukawa bila watanzania kuelezwa kama zile tuhuma zilikuwa za kweli au za kutunga kwa nia ya kuwalaghai watu.
3.Chadema kwenye Ilani yake 2010 walituambia kuwa tukiwachagua hawatachukua posho kama hatua mojawapo ya kuonyesha kwa vitendo kuchukizwa na matumizi mabaya ya serikali.Je Kwanini wamekiuka Ilani yao?
4.Chadema Mwaka 2011 walikataa kushirikiana na vyama vya Upinzani ili kuunda kambi ya Upinzani yenye sauti na nguvu,wakatuambia kuwa Vyama vyote ni mawakala wa ccm isipokuwa Chadema,hivyo kushirikiana nao ni kurudisha nyuma harakati za ukombozi,ghafla tu baraza kivuli la mawaziri likavunjwa na wale vibaraka wa ccm wakaingizwa kwenye kambi ya upinzani bila sisi wafuasi kuambiwa ni lini ukibaraka wao umeisha mpaka wakaaminiwa.
5.Tuliambiwa kuwa David Kafulila ni mtu hatari kwa ustawi wa Upinzani hasa Chadema,tukaambiwa ni Sisimizi ambae hana umuhimu wowote ndani ya Chadema ,ghafla tu Sisimizi kageuka tembo,Mtu hatari kageuka Shujaa na sasa ananadiwa na viongozi wa Chadema kuwa ukawa imepata tuzo,Je ni lini kafulila alianza kuaminiwa ?
6.Tuliambiwa tena kuwa ,Serikali kutumia mashangingi huku Zahanati hazina dawa ni kiwango cha juu cha Ubinafsi,Mbowe akalikataa Shangingi la Kiongozi wa Upinzani....ghafla nimemuona Bukoba akiwa na Shangingi lenye maandishi KUB. Je ndio lilelile alilolikataa hadharani au ni lingine?
7.Mbowe alituahidi kwenda mahakamani,na kudai kuwa wanasheria wake wanaandaa mashtaka dhidi ya Zitto Kabwe baada ya Zitto kumtuhumu kuwa alipokea fedha toka kwa makada wa ccm na kuwa alicheza dili ns Kinana kuhusu deni analodaiwa na NSSF.Je taratibu za ufunguaji kesi ziliishia wapi ?
8. Chadema Mwaka 2011 ilitangazia Umma kutomtambua Rais Kikwete kwakuwa alishindwa na Slaa,ghafla wanatangaza kuomba mashauriano na Rais waliemkataa,wakafika Ikulu kujadiliana juu ya maswala mbalimbali ya Kitaifa,wakanywa Juice na kupiga picha,Je ni lini Chadema ilianza kumtambua Rais na kwanini sisi wananchi hatukuelezwa kuwa kuanzia sasa Kikwete ni Rais?
Sina nia ya kuibua Marumbano yasiyotujenga bali nataka mtu mwenye uelewa mkubwa kuliko mimi anaondoe Uvulivuli ili nami nijitambue.
Naomba nijibiwe hayo ili nami niwe Kamanda nitakaeitetea Chadema popote.
Hayo Majawabu yakipatikana,ndio utakuwa mwisho wa Chama cha ACT-Wazalendo maana umma utaiamini Chadema na hivyo kuiunga mkono.
Kama Maswali yakikosa Majibu basi Chadema itakosa uhalali wa kutuhumu ACT-Wazalendo na viongozi wake na hivyo wananchi wataendelea kujiunga na ACT-Wazalendo kwa kuamini kuwa maneno yoyote yanayotolewa na Chadema ni Ulaghai.
Karibuni kwa majibu Makamanda ili nasi tupate chakuwaambia wananchi ili waipuuze ACT-Wazalendo.
Dada ugumba umeutaka mwenyewe, acha ngono ya mdomo, anal na kifo cha mende haitasaidia. Mimba utapata by deep penetration of the penis to the virginal na hiyo ni kwa kuinama then uume uingie alafu sperms ziingie ukeni na sio mdomoni kama unavyofanya siku zote hapo mimba utapata. Nakushauri baada ya kupata mimba hudhuria clinic upate chanjo zote kama tulivyoweka kwenye muongozo wa wizara ya Afya. By MD wa ukweli.
Dada ugumba umeutaka mwenyewe, acha ngono ya mdomo, anal na kifo cha mende haitasaidia. Mimba utapata by deep penetration of the penis to the virginal na hiyo ni kwa kuinama then uume uingie alafu sperms ziingie ukeni na sio mdomoni kama unavyofanya siku zote hapo mimba utapata. Nakushauri baada ya kupata mimba hudhuria clinic upate chanjo zote kama tulivyoweka kwenye muongozo wa wizara ya Afya. By MD wa ukweli.
Ndugu mambo gani aliyo yafanya zitto? hamja wai mtimua kafulila, hamjawai msema vibaya mbatia? hamjawai ikashfu cuf? leo yako wapi? tatizo lazito ni mbowe na si cdm hilo kubari
Mbowe amuonee wivu Zitto???,kwalipi?,sisi tulioko Kigoma tunamfahamu Zitto vizuri tangu alivyoletwa na Mbowe kuja kugombea ubunge akimtoa Ujerumani,alimpa kila kitu sawa na mwanamke unayempa kila kitu lakini hatosheki,alimpa mpaka gari bure na hakumludishia mpaka leo.Zitto ameshakwambia kama alimludishia hilo gari?.Zitto hafai na hata Cdm tuliwatahadharisha tangu mwanzo na sasa wamejionea wenyewe.Wewe ndie haumfahamu huyo dogo kwa sababu umeamua tu kutomfahamu kwa mahaba yako kwake,nadhani wewe ndie mchepuko wake au?
Mtaonekana wa maana sana kama mtajibu maswali yaliyoelekezwa kwenu. Huku mitaani cuf hawajasahau mlivyowaita ni mashoga sasa wanaulizana je wameshauacha au nanyi mmejiunga?
Haya maswali yakiwashinda kuanzia leo mbadirike muanze kufanya za hoja na siasa maji taka mnazojikita nazo mkidhani mnafanya siasa.
Nataka kurudi Chadema mara baada ya .....
Nitayaamini maneno yanayotolewa na wanachadema siku siku haya maswali yakipatiwa majawabu
Natamani sana kuwa Kamanda lakini haya yananitatanisha,naombeni majibu ili nifanye maamuzi magumu.
1.Walituambia kuwa chama cha wananchi CUF ni tawi la ccm,wakaenda mbali kwa kuwaita kuwa ni chama cha Mashoga ghafla wakasahau matusi yao na wakaanza mashirikiano Mapya,Je ile tuhuma iliishia wapi?
2.Chadema walituaminisha kuwa Chama cha NCCR mageuzi kimejaa Usalama wa Taifa,wakaenda mbali wakamkejeli Mbatia, tena ndani ya Bunge kuwa,yupo Upinzani huku akiitumikia ccm,ghafla tu Mbatia ni Mshirika namba Mbili wa Ukawa bila watanzania kuelezwa kama zile tuhuma zilikuwa za kweli au za kutunga kwa nia ya kuwalaghai watu.
3.Chadema kwenye Ilani yake 2010 walituambia kuwa tukiwachagua hawatachukua posho kama hatua mojawapo ya kuonyesha kwa vitendo kuchukizwa na matumizi mabaya ya serikali.Je Kwanini wamekiuka Ilani yao?
4.Chadema Mwaka 2011 walikataa kushirikiana na vyama vya Upinzani ili kuunda kambi ya Upinzani yenye sauti na nguvu,wakatuambia kuwa Vyama vyote ni mawakala wa ccm isipokuwa Chadema,hivyo kushirikiana nao ni kurudisha nyuma harakati za ukombozi,ghafla tu baraza kivuli la mawaziri likavunjwa na wale vibaraka wa ccm wakaingizwa kwenye kambi ya upinzani bila sisi wafuasi kuambiwa ni lini ukibaraka wao umeisha mpaka wakaaminiwa.
5.Tuliambiwa kuwa David Kafulila ni mtu hatari kwa ustawi wa Upinzani hasa Chadema,tukaambiwa ni Sisimizi ambae hana umuhimu wowote ndani ya Chadema ,ghafla tu Sisimizi kageuka tembo,Mtu hatari kageuka Shujaa na sasa ananadiwa na viongozi wa Chadema kuwa ukawa imepata tuzo,Je ni lini kafulila alianza kuaminiwa ?
6.Tuliambiwa tena kuwa ,Serikali kutumia mashangingi huku Zahanati hazina dawa ni kiwango cha juu cha Ubinafsi,Mbowe akalikataa Shangingi la Kiongozi wa Upinzani....ghafla nimemuona Bukoba akiwa na Shangingi lenye maandishi KUB. Je ndio lilelile alilolikataa hadharani au ni lingine?
7.Mbowe alituahidi kwenda mahakamani,na kudai kuwa wanasheria wake wanaandaa mashtaka dhidi ya Zitto Kabwe baada ya Zitto kumtuhumu kuwa alipokea fedha toka kwa makada wa ccm na kuwa alicheza dili ns Kinana kuhusu deni analodaiwa na NSSF.Je taratibu za ufunguaji kesi ziliishia wapi ?
8. Chadema Mwaka 2011 ilitangazia Umma kutomtambua Rais Kikwete kwakuwa alishindwa na Slaa,ghafla wanatangaza kuomba mashauriano na Rais waliemkataa,wakafika Ikulu kujadiliana juu ya maswala mbalimbali ya Kitaifa,wakanywa Juice na kupiga picha,Je ni lini Chadema ilianza kumtambua Rais na kwanini sisi wananchi hatukuelezwa kuwa kuanzia sasa Kikwete ni Rais?
Sina nia ya kuibua Marumbano yasiyotujenga bali nataka mtu mwenye uelewa mkubwa kuliko mimi anaondoe Uvulivuli ili nami nijitambue.
Naomba nijibiwe hayo ili nami niwe Kamanda nitakaeitetea Chadema popote.
Hayo Majawabu yakipatikana,ndio utakuwa mwisho wa Chama cha ACT-Wazalendo maana umma utaiamini Chadema na hivyo kuiunga mkono.
Kama Maswali yakikosa Majibu basi Chadema itakosa uhalali wa kutuhumu ACT-Wazalendo na viongozi wake na hivyo wananchi wataendelea kujiunga na ACT-Wazalendo kwa kuamini kuwa maneno yoyote yanayotolewa na Chadema ni Ulaghai.
Karibuni kwa majibu Makamanda ili nasi tupate chakuwaambia wananchi ili waipuuze ACT-Wazalendo.
Aa! simbaya kumuita maiti mtu alie hai kwa fikrazako japo sivyema kwa ubinadam wa kawaida, Penye ukweli hapasimamiwi na mtu mmoja kama imepangwa ukweli, uwazi pia uzalendo kuenezwa si ztt pekee atakae ueneza yeye atakua mwanzirish wapo watakao fuataLazima mutumie thread zinazohusu chadema kumpromote maiti wa kisiasa duh anauzwa lakini hauziki Tanzania nzima na dunia nzima wamjua msaliti mroho wa madaraka mla rushwa
Nivizuri wewe kunitukana japo sivyema kunitukana, nachokueleza mm mwenyewe nimzaliwa wa kigoma, ujiji mnaz mmoja, nikiwa shule NYARUBANDA shonge, Nimemfaham zitto tangu hajawa mgombea dhid ya KAHENA, Sinashaka na kusaidiwa na mtu kwan nikawaida ktk mafanikio huwezi kuyapata bila kupitia kwa mtu bak, mada ipo ktk utatuzi wa mgogoro unao pelekea kila siku majukwaani hakun lamaana zaid ya chuki na ztt, ww umekuja kunitukana ila mm kutukana mwiko.Mbowe amuonee wivu Zitto???,kwalipi?,sisi tulioko Kigoma tunamfahamu Zitto vizuri tangu alivyoletwa na Mbowe kuja kugombea ubunge akimtoa Ujerumani,alimpa kila kitu sawa na mwanamke unayempa kila kitu lakini hatosheki,alimpa mpaka gari bure na hakumludishia mpaka leo.Zitto ameshakwambia kama alimludishia hilo gari?.Zitto hafai na hata Cdm tuliwatahadharisha tangu mwanzo na sasa wamejionea wenyewe.Wewe ndie haumfahamu huyo dogo kwa sababu umeamua tu kutomfahamu kwa mahaba yako kwake,nadhani wewe ndie mchepuko wake au?
Watamjadili Khalid Kagenzi?
Nchi hii haiwezi kuendeshwa na SACCOS ya MTEI!! NEVER EVER!!
Aa! simbaya kumuita maiti mtu alie hai kwa fikrazako japo sivyema kwa ubinadam wa kawaida, Penye ukweli hapasimamiwi na mtu mmoja kama imepangwa ukweli, uwazi pia uzalendo kuenezwa si ztt pekee atakae ueneza yeye atakua mwanzirish wapo watakao fuata
Kawaida sitatizo hakuna 5 bila 1 mm Div 5 wewe Div 1 haina shida tukiwa wote 1 hatuta heshimiana, kunalugha zakutumiwa na zisizo pendezwa kutumiwa, kifupi nikuache wewe si level yangu mm DV5 siwezi jadiriana na wa DV1, Sikunjema amani iwejuuyakoHivi wewe unajua maana yanmisemo katika lugha kweli?Mtu anaposema a walking dead man, wewe kwa akili yako unatafasiri kwamba ni maiti anayetembea?!Kweli hizi Div 5 ni sheeeedaaaaa
Hata wewe utajadiliwa
Kama wewe inavyokuchukia ujue ccm haipatani na wezi kama wewe.Mimi naichukia ccm kama kansa
Hao wanajadiliwa na wale fisi pale LumumbaVipi kuhusu kagenzi na zitto chadema watamjadili tena na kumwazimia?