Post za namna hiyo zenye kashfa, dhihaka.....juu ya kinachoendelea nchini hata sisi tunaziona sana humu, lakini tunaamua kuwalia buyu tu.
Hicho ulichokifanya wewe na mtoa mada mmeingia kwenye mtego wake maana ndio matarajio yake yalivyokuwa wakati ana type hiyo comment.
So huyo ni wa kumpuuza tu
Watu wajinga kama hao wanatafuta tu attention ya kutaka muanze kuingia kwenye mjadala wa matusi (kwasababu ndiko anakowapeleka)
Wapo wachache sana humu wa aina hiyo na wanafahamika kwa ID's zao.
Tukiweka unity kuamua kuwalia buyu tukasema tusi reply shit zao na hata wakija na threads za uchokozi za ku catch attention za watu ziwe na zero reply yani tusishiriki kwenye hiyo mijadala kabisa, nadhani hapo watakosa nguvu ya kuendelea kupost huu ujinga wao.
Natamani wote mngekuwa mna roho ya kikauzu kama yangu, hawa wote wasingeona JF ni platform ya kueneza uchawa wao.