PostGE2025 Kamati Kuu ACT Wazalendo kukutana Januari 18, Dar kujadili ripoti ya Uchaguzi Mkuu 2025

PostGE2025 Kamati Kuu ACT Wazalendo kukutana Januari 18, Dar kujadili ripoti ya Uchaguzi Mkuu 2025

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
Jumapili tarehe 18 Januari, 2026 Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo itakutana jijini Dar es salaam ikiwa ni kikao chake cha kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015.

Katika kikao hicho, Kamati Kuu inatarajia kupokea na kujadili taarifa ya Sekretarieti ya Chama Taifa na kutoa maelekezo ya hatua za utekelezaji.

Miongoni mwa taarifa muhimu zitakazopokelewa na kujadiliwa ni pamoja na Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Kamati Kuu itafanya tathmini ya kina ya Uchaguzi huo, tathmini ya hali ya kisiasa nchini na kutoka na maazimio na maagizo mbalimbali yenye kutoa mwelekeo wa Chama.

Mbali na ajenda hiyo, Kamati Kuu pia, itajadili taarifa ya Haki za Binadamu inayotokana na matukio ya Uchaguzi Mkuu huo.

Kikao kitafanyika Makao Makuu ya Chama, Magomeni Dar es Salaam, katika ukumbi wa vikao wa Hakainde Hichilema, kuanzia saa 4:00 asubuhi.

photo_2026-01-17_13-35-23.jpg
 
Hii nchi naona CCM ilishajimilikisha kutawala milele, kama vipi wafute vyama vingine vya upinzani tu!, hawawezi chezea kodi zetu hivi kwa kufanya chaguzi za maigizo namna hii.
 
Jumapili tarehe 18 Januari, 2026 Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo itakutana jijini Dar es salaam ikiwa ni kikao chake cha kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015.

Katika kikao hicho, Kamati Kuu inatarajia kupokea na kujadili taarifa ya Sekretarieti ya Chama Taifa na kutoa maelekezo ya hatua za utekelezaji.

Miongoni mwa taarifa muhimu zitakazopokelewa na kujadiliwa ni pamoja na Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Kamati Kuu itafanya tathmini ya kina ya Uchaguzi huo, tathmini ya hali ya kisiasa nchini na kutoka na maazimio na maagizo mbalimbali yenye kutoa mwelekeo wa Chama.

Mbali na ajenda hiyo, Kamati Kuu pia, itajadili taarifa ya Haki za Binadamu inayotokana na matukio ya Uchaguzi Mkuu huo.

Kikao kitafanyika Makao Makuu ya Chama, Magomeni Dar es Salaam, katika ukumbi wa vikao wa Hakainde Hichilema, kuanzia saa 4:00 asubuhi.

chadema masalia sio chini ya mropokaji heche :pedroP:
 
Jumapili tarehe 18 Januari, 2026 Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo itakutana jijini Dar es salaam ikiwa ni kikao chake cha kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015.

Katika kikao hicho, Kamati Kuu inatarajia kupokea na kujadili taarifa ya Sekretarieti ya Chama Taifa na kutoa maelekezo ya hatua za utekelezaji.

Miongoni mwa taarifa muhimu zitakazopokelewa na kujadiliwa ni pamoja na Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Kamati Kuu itafanya tathmini ya kina ya Uchaguzi huo, tathmini ya hali ya kisiasa nchini na kutoka na maazimio na maagizo mbalimbali yenye kutoa mwelekeo wa Chama.

Mbali na ajenda hiyo, Kamati Kuu pia, itajadili taarifa ya Haki za Binadamu inayotokana na matukio ya Uchaguzi Mkuu huo.

Kikao kitafanyika Makao Makuu ya Chama, Magomeni Dar es Salaam, katika ukumbi wa vikao wa Hakainde Hichilema, kuanzia saa 4:00 asubuhi.

Asante kwa taarifa, hiki ni kikao muhimu naamini Zitto Kabwe ataniniwasilishia hoja yangu hii Zitto Mshauri OMO kuwa Pragmatist,Acheni Ujinga Pelekeni Majina ya SUK, Kususa Hakusaidii KITU
Screenshot_20260111_091431_com.easy.abroad_edit_24364534014714 (1).jpg


P
 
Mmh! Uchaguzi mkuu upi?? Kwani 2025 kulifanyika uchaguzi mkuu?

Au Zana Za Kale (ZZK) kishavuta chake??
 
Asante kwa taarifa, hiki ni kikao muhimu naamini Zitto Kabwe ataniniwasilishia hoja yangu hii Zitto Mshauri OMO kuwa Pragmatist,Acheni Ujinga Pelekeni Majina ya SUK, Kususa Hakusaidii KITU
View attachment 3531193

P
Nilikuwa najiuliuliza kwanini umeamua kuwa ndumilakiwili mwandishi maarafu na Mzee Kwa umri sasa

Juzi nilikutana na kada na staff mmoja mkubwa sana wa gazeti la Ccm alikuwa mtu Kanda ya ziwa

Alikuwepo pia kwenye sakata la habari ya gazeti iliyomkasirisha mama ya gazeti lao kwamba hatagombee Tena 25

Alichoniambia ni kwamba wengi ndani ya ccm wameamua kuwa wanafiki Ili waishi TU

Ilinishtua sana nikasema ccm imefanikiwa kuuwa uzalendo kabisa Hadi wazee wanaogopa kujitetea nchi yao

Mwisho akasema hata bashiru ameamua kuwa mnafiki pia

Wakishimdwa kukushughulikia kisheria wanakuwa

Ccm imefanya mapinduzi makubwa kutoka genge la kishighulikiana
 
Back
Top Bottom