alikuwa kiongozi wetu mahiri sana wakati wa chuo...alisota mahabusu sana na mwenzio Dr. Deo kwa kupigania haki zetu....poleni sana wafiwa!!!
Na kweli anawaacha waliokuwa matreita kama akina Mutungirei ....etcwhat? kweli Mungu anachagua watu wazuri, huku wabaya wakiacha waendelee duniani.