Umeongea point kubwa sana mkuuMkuu risasi zinaua. Jambazi mmoja aliyejitoa mhanga ana nguvu zaidi ya polisi 100 ambao wameaga familia zao kwenda kazini na wakitegemewa kurudi kwenye familia zao wakiwa wazima. Wanastahili pongezi kubwa, hata jambazi akiwa mmoja.
Una umri gani mkuu mbona hii story ni ya juzi tu!?!?Duh hiyo stori naiskia tu, nilkua kinda sana enz hzo
Hutaki kufa au?Nitakufaje sasa
Majambazi wawili wametumia dakika 70, je wangekua majambazi 10 si mpaka leo mchana ndio piga nikupige, pokea nikate ndio ingeisha....Katika taarifa ya habari ITV ya sa2 ,nmekutana na habari kwamba kikosi cha polisi kimepambana na majambazi piga nikupige kwa dakika 70 yani lisaa limona na dakika 10.kazi nzuri
Kilichonisikitisha ni kamanda kuongea kwa mbwembwe na kujitapa sana kuwa ile piga nikupige,nikupige piga kwa dakika 70.
Cha ajabu jambazi mwenyewe ni mmoja na amekamatwa na silaha moja na risasi 26 tu.yani muda wote huo kumbe kamtu kalikua kamoja tu halafu kamanda anatamba
Hivi manyara bado ipo arushaAnatamba saana,kuna siku pia walikuta silaha kwa mwalim mmoja huko manyara,alitamba utazan kamkamata osama
Wewe utakuwa Policemzee anajikubali sana yule.amenifurahisha........'' ukipanda juu hatukusubiri''
Anaitwa Jen muroHivi yule msemaj wa Yanga c yko huko huko eeh
babu umefanya nicheke sana.... naikumbuka ile movie ya komando kipensi na ile mikuki ya porini na mitegoKomando kipensi alikalisha kikosi kizima cha jeshi, au Rambo Bloodsport 1 porini alisumbua zaidi ya mwezi kuanzia jeshi hadi polisi. Japo ni sanaa ila huwa zinauhalisia.
Yule mzee hajasema kama kile kikosi chote kimetoka kupambana na adui hao usimsingizie mkuu.
Katika taarifa ya habari ITV ya sa2 ,nmekutana na habari kwamba kikosi cha polisi kimepambana na majambazi piga nikupige kwa dakika 70 yani lisaa limona na dakika 10.kazi nzuri
Kilichonisikitisha ni kamanda kuongea kwa mbwembwe na kujitapa sana kuwa ile piga nikupige,nikupige piga kwa dakika 70.
Cha ajabu jambazi mwenyewe ni mmoja na amekamatwa na silaha moja na risasi 26 tu.yani muda wote huo kumbe kamtu kalikua kamoja tu halafu kamanda anatamba
Komando kipensi alikalisha kikosi kizima cha jeshi, au Rambo Bloodsport 1 porini alisumbua zaidi ya mwezi kuanzia jeshi hadi polisi. Japo ni sanaa ila huwa zinauhalisia.
Yule mzee hajasema kama kile kikosi chote kimetoka kupambana na adui hao usimsingizie mkuu.
Anaweza akawa adui ni mmoja sawa ila akawa ana mbinu nyingi za kupambana na siraha nzito au akawa na mafunzo hayo ya kijeshi katika kutumia vema siraha usimdharau adui yako na kumuona mwepesi mkuu adui mmoja anaweza kumaliza kikosi kizima cha jeshi hii kitu sio ya kubeza mkuu .....kama ni mpenzi wa movie za kivita embu pitia pitia movie za akina Rambo uone namna adui anavyokua na nguvu na maarifa mengi hadi kuzidi jeshi lenye askari zaidi ya 50 na akawateketezaKatika taarifa ya habari ITV ya sa2 ,nmekutana na habari kwamba kikosi cha polisi kimepambana na majambazi piga nikupige kwa dakika 70 yani lisaa limona na dakika 10.kazi nzuri
Kilichonisikitisha ni kamanda kuongea kwa mbwembwe na kujitapa sana kuwa ile piga nikupige,nikupige piga kwa dakika 70.
Cha ajabu jambazi mwenyewe ni mmoja na amekamatwa na silaha moja na risasi 26 tu.yani muda wote huo kumbe kamtu kalikua kamoja tu halafu kamanda anatamba
Una umri gani mkuu mbona hii story ni ya juzi tu!?!?
Anaweza akawa adui ni mmoja sawa ila akawa ana mbinu nyingi za kupambana na siraha nzito au akawa na mafunzo hayo ya kijeshi katika kutumia vema siraha usimdharau adui yako na kumuona mwepesi mkuu adui mmoja anaweza kumaliza kikosi kizima cha jeshi hii kitu sio ya kubeza mkuu .....kama ni mpenzi wa movie za kivita embu pitia pitia movie za akina Rambo uone namna adui anavyokua na nguvu na maarifa mengi hadi kuzidi jeshi lenye askari zaidi ya 50 na akawateketeza
mkuu wangekuwa watano jee si ni siku nzima sasaKatika taarifa ya habari ITV ya sa2 ,nmekutana na habari kwamba kikosi cha polisi kimepambana na majambazi piga nikupige kwa dakika 70 yani lisaa limona na dakika 10.kazi nzuri
Kilichonisikitisha ni kamanda kuongea kwa mbwembwe na kujitapa sana kuwa ile piga nikupige,nikupige piga kwa dakika 70.
Cha ajabu jambazi mwenyewe ni mmoja na amekamatwa na silaha moja na risasi 26 tu.yani muda wote huo kumbe kamtu kalikua kamoja tu halafu kamanda anatamba