gosheni5
Member
- Sep 17, 2014
- 14
- 5
Wewe ni NabiiUnabidii wako umetimia
Wewe ni NabiiUnabidii wako umetimia
Imeshakua kakaHope Magu atampa u-IGP
I like him.
Upo mkuuEndeleeni kusifu kwa nyimbo na mapambio.
JIFUNZENI kuweka akiba ya maneno na chuki zenu.Hatateuliwa kuwa IGP
Habari unayo??Hatateuliwa kuwa IGP
Mkuu unaona jamaa alivyopata?habari tunazoandika ziwe na ukweli ndani yake,, tuache habari za vijiweni
Mkuu ww noma.... hebu nitabirie na mmvkwa uchache tuHongera Kamanda Sirro, Hongera Mheshimiwa Magufuli kwa kumwona Sirro. Sirro chapa kazi.