Kamanda Sirro atakuwa bonge la IGP

Kamanda Sirro ni mtu mwenye hekima sana lakini ni mtu hatari kwa wahalifu ... Kipindi hiki kama una ndugu au jamaa unajua anashiriki kwenye vitendo vya ujambazi mwambie kwasasa apumzike maana hatokamatwa wala kujehuriwa ....ni risasi za kichwa tu ...na kile kikosi maalum cha kuzuia uhalifu sasa wanapiga mzigo kwelikweli ....
 
Nimekuwa nikimsikiliza huyu jamaa, akiwa anafanya mahojiano mbalimbali. Iwe na BBC, DW, na pia vyombo vya habari vya hapa nyumbani. Uongeaji wake huwa wanikosha sana.

Jamaa ametulia, anaongea 'point' tu, kila mtu hutamani kumsikiliza. Ninaamini haya matukio ya ujambazi Dar es Salaam yataisha kabla hakujacha.

Watu kama hawa tukiwa CCP walikuwa wana pass out angalau na kirungu kimoja, hususani cha ukakamavu.

Ukiwaacha Thobias Andengenye na Diwani Athumani, Sirro atakuwa Bonge la IGP.
Wale watu wa umri wangu na kunizidi wanajua kwamba enzi hizo mtu akipata habari kwamba Rais anatarajia kumteua mtu fulani katika nafasi ya juu, akitaka kumharibia ni kuandika hadharani kwamba (mfano) fulani anatarajia kuteuliwa kuwa waziri wa elimu. Hiyo ilitosha kwa mtarajiwa kukosa sifa. Sasa kama kweli mnampenda huyo mnayemtaja aje siku moja awe Boss basi kuweni na vifua vya kuhifadhi siri msije mkamharibia bila sababu ya msingi. Kama anafanya kazi nzuri Rais atamgundua kwa sababu urais ni taasisi kubwa yenye nyezo kutosha kuona kila kinachofanyika kila siku iendayo kwa Mungu. Nani alijua kama Makonda angekuwa mkuu wa mkoa tena Dar es Salaam. Mwacheni Kamanda apige kazi halafu vyombo husika vitamuibua.


Aliwahi sifiwa hadi na Gazeti la Mwanahalisi, kwa kuzima mapigano ya wakulima na wafugaji huko Ikwiriri.
 
Nimekuwa nikimsikiliza huyu jamaa, akiwa anafanya mahojiano mbalimbali. Iwe na BBC, DW, na pia vyombo vya habari vya hapa nyumbani. Uongeaji wake huwa wanikosha sana.

Jamaa ametulia, anaongea 'point' tu, kila mtu hutamani kumsikiliza. Ninaamini haya matukio ya ujambazi Dar es Salaam yataisha kabla hakujacha.

Watu kama hawa tukiwa CCP walikuwa wana pass out angalau na kirungu kimoja, hususani cha ukakamavu.

Ukiwaacha Thobias Andengenye na Diwani Athumani, Sirro atakuwa Bonge la IGP.



Aliwahi sifiwa hadi na Gazeti la Mwanahalisi, kwa kuzima mapigano ya wakulima na wafugaji huko Ikwiriri.
naona mtu anapigiwa madebe taratibu hapa.
 
Simoni Siro ni performer yule hategemei kuteuliwa alipo sasa anaridhika anachotaka ni kutumikia nchi na kuacha legacy. Amekulia shule zenye heshima kuu ya kinidhamu hapa nchini(mmeelewa), hawezi kuwa na tamaa alichofundishwa ni OBIDIE
NCE AND PERSEVERANCE
Nani asiyependa madaraka!? Kuna mfanyakazi asiyependa kupanda cheo!? Kama masifu turn basi this is too much.
 
Kwenye ukweli lazima tuwe wakweli. Kamanda Sirro yuko makini sana. Si mkurupukaji. Binafsi namuombea sana katika utendaji wake.
 
Kamanda Sirro ni mtu mwenye hekima sana lakini ni mtu hatari kwa wahalifu ... Kipindi hiki kama una ndugu au jamaa unajua anashiriki kwenye vitendo vya ujambazi mwambie kwasasa apumzike maana hatokamatwa wala kujehuriwa ....ni risasi za kichwa tu ...na kile kikosi maalum cha kuzuia uhalifu sasa wanapiga mzigo kwelikweli ....
Endeleeni kusifu kwa nyimbo na mapambio.
 
Mkuu tutafikatu

Rais Magufuli amejibu hoja na maombi yako!

Kama kawaida Jamiiforums imeendelea kuwa maktaba na kisiwa cha fikra sahihi pamoja na kwamba kwa sasa imevamiwa na vijana ambao wamebarikiwa fikra finyu.

Jamiiforums ya leo imejaa vitoto vinavyoandika kifesibuku fesibuku na instagram.
 
nilikuwa namuamini sana SIRO,lakini tangu aanze kupangiwa kazi na mkuu wa mkoa nikapata walakini kidogo.
 
Unabii wa mleta thread umetimia....
Hongera sana kwa maono yako Mkuu
 
Back
Top Bottom