MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,439
Kamanda Sirro ni mtu mwenye hekima sana lakini ni mtu hatari kwa wahalifu ... Kipindi hiki kama una ndugu au jamaa unajua anashiriki kwenye vitendo vya ujambazi mwambie kwasasa apumzike maana hatokamatwa wala kujehuriwa ....ni risasi za kichwa tu ...na kile kikosi maalum cha kuzuia uhalifu sasa wanapiga mzigo kwelikweli ....