Kamanda Sirro atakuwa bonge la IGP

habari tunazoandika ziwe na ukweli ndani yake,, tuache habari za vijiweni
Mkuu hakuna anayesema atakuwa IGP maana mwenye mamlaka ya uteuzi anajua aina ya mtu anayemtaka. Ila tunasema kama yeye akiteuliwa atakuwa "bonge" la IGP.
 
Nimekuwa nikimsikiliza huyu jamaa, akiwa anafanya mahojiano mbalimbali. Iwe na BBC, DW, na pia vyombo vya habari vya hapa nyumbani. Uongeaji wake huwa wanikosha sana.

Jamaa ametulia, anaongea 'point' tu, kila mtu hutamani kumsikiliza. Ninaamini haya matukio ya ujambazi Dar es Salaam yataisha kabla hakujacha.

Watu kama hawa tukiwa CCP walikuwa wana pass out angalau na kirungu kimoja, hususani cha ukakamavu.

Ukiwaacha Thobias Andengenye na Diwani Athumani, Sirro atakuwa Bonge la IGP.
I Second you.
CP Simon Sirro sio tu kuwa ni Bonge la RPC but also ni Bonge la Askari.
Namkumbuka akiwa RPC Mwanza kwenye uchaguzi Mkuu 2010.
Namkumbuka kwenye issue ya Ikwiriri.
CP Sirro ametulia,hatumii ubabe na Msuli,huyu jamaa hata watu wakigoma akija anaongea nao Dakika kadhaa wanatawanyika wakiwa Mioyo safi pasi kurushwa hata baruti wala bomu la Machozi.
Kuna Jamaa wawili katika jeshi la Polisi ambao Binafsi hunikosha sana.
CP Sirro na CP Diwani Athumani
 
I Second you.
CP Simon Sirro sio tu kuwa ni Bonge la RPC but also ni Bonge la Askari.
Namkumbuka akiwa RPC Mwanza kwenye uchaguzi Mkuu 2010.
Namkumbuka kwenye issue ya Ikwiriri.
CP Sirro ametulia,hatumii ubabe na Msuli,huyu jamaa hata watu wakigoma akija anaongea nao Dakika kadhaa wanatawanyika wakiwa Mioyo safi pasi kurushwa hata baruti wala bomu la Machozi.
Kuna Jamaa wawili katika jeshi la Polisi ambao Binafsi hunikosha sana.
CP Sirro na CP Diwani Athumani
Imebidi niweke post yako juu. Ina nyama zaidi yangu.
 
Naombeni kujulishwa CV ya CP Simon Sirro
Huyu jamaa yuko Makini sana na ana Busara.
You can tell by just Watching him when he Speaks
 
I Second you.
CP Simon Sirro sio tu kuwa ni Bonge la RPC but also ni Bonge la Askari.
Namkumbuka akiwa RPC Mwanza kwenye uchaguzi Mkuu 2010.
Namkumbuka kwenye issue ya Ikwiriri.
CP Sirro ametulia,hatumii ubabe na Msuli,huyu jamaa hata watu wakigoma akija anaongea nao Dakika kadhaa wanatawanyika wakiwa Mioyo safi pasi kurushwa hata baruti wala bomu la Machozi.
Kuna Jamaa wawili katika jeshi la Polisi ambao Binafsi hunikosha sana.
CP Sirro na CP Diwani Athumani
Kama umeangalia mchango wangu hapo juu hata mimi nime salute, alipokuwa Mwanza alikuwa jembe, la kweli ila kwa sasa tumeona Halima anatuhumiwa kufanya fujo Karimjee anakwenda kusachiwa nyumbani, Kubenea anakwenda mahakamani kwa kesi yake anakamwatwa kwa kufanya fujo Karimjee, huo sio ule ukamanda wake akiwa Mwanza, maana watu kama Kubemea angepigiwa simu hange kataa kwenda polisi. Hapa ndipo naona kama ameanza kuwa kama aliye mwachia kijiti kila siku tulizowea kumuona kwenye luninga.
 
Kama umeangalia mchango wangu hapo juu hata mimi nime salute, alipokuwa Mwanza alikuwa jembe, la kweli ila kwa sasa tumeona Halima anatuhumiwa kufanya fujo Karimjee anakwenda kusachiwa nyumbani, Kubenea anakwenda mahakamani kwa kesi yake anakamwatwa kwa kufanya fujo Karimjee, huo sio ule ukamanda wake akiwa Mwanza, maana watu kama Kubemea angepigiwa simu hange kataa kwenda polisi. Hapa ndipo naona kama ameanza kuwa kama aliye mwachia kijiti kila siku tulizowea kumuona kwenye luninga.
Ni kweli kabisa Mkuu.
Bado kuna Siasa ambazo huwatoa watu makini kama Kamanda Sirro kwenye Mstari.
Kamanda Sirro anapaswa kuwa ndio Mshauri Mkuu wa Masuala ya Ulinzi na usalama na sio kupokea ushauri kutoka kwa wana Siasa.
Binafsi namuombea sana kwa Mola CP Sirro
 
Fanyeni kazi acheni kufikiria vyeo na madaraka. Mnataka baba zenu ndio wawe na madaraka watz masikini na wachapa kazi waondolewe.
 
Siro japo sifaham historia yake kiundani ila nimekuwa nikimsikia kwenye vyombo vya habari na kwakweli anachosema mleta mada ndicho nilichokuwa nakiona kutoka Kwa huyu kamanda. Siro kweli ni jembe.
 
Kama umeangalia mchango wangu hapo juu hata mimi nime salute, alipokuwa Mwanza alikuwa jembe, la kweli ila kwa sasa tumeona Halima anatuhumiwa kufanya fujo Karimjee anakwenda kusachiwa nyumbani, Kubenea anakwenda mahakamani kwa kesi yake anakamwatwa kwa kufanya fujo Karimjee, huo sio ule ukamanda wake akiwa Mwanza, maana watu kama Kubemea angepigiwa simu hange kataa kwenda polisi. Hapa ndipo naona kama ameanza kuwa kama aliye mwachia kijiti kila siku tulizowea kumuona kwenye luninga.
Mkuu kuna wakati wawajibika kwa anayeteua. La sivyo watoto watashinda njaa.
 
Naombeni kujulishwa CV ya CP Simon Sirro
Huyu jamaa yuko Makini sana na ana Busara.
You can tell by just Watching him when he Speaks
Duh! Sijui zinafungiwa kwenye safe. Ila nadhani ana miaka kati ya 55 na 56 na 57.
 
Akiwa Mwanza alifanya kazi yake vizuri sana hata kuletwa Dar kusaidia intelijensia, baada ya Kova kuwa kovu na kuondoka na Siro kupewa nafasi ya Kova naona kama ule uweledi wake ameanza kuuweka pembeni na kuwa na muhemko wa kisiasa zaidi, Siamini kama atastahili kuwa IGP maana ameonekana sasa yeye kuwa kada wa chama fulani na kufuata amri za wana siasa.
Tabia pia ya kukimbilia press kila saa nayo inampunguzia heshima anatakiwa awe na msemaji wake sio kila jambo kwenye press ni kamanda Siro, aende site, atumikie Wananchi na sio kuwatisha kwamaba atawashughulikia. Sio kauli nzuri kwa msomi kama Kamanda Siro.
hang tofauti na waliotangulia, anatumiwa na ccm kulinda maslahi yao ndo mana ameshindwa kukama walomteka mwandishi wa DW
 
Hivi mangu amekosa nini fasta,nadhani Mangu si mbaya sana ila wana siasa hasa ccm wamemyumbisha sana na kupelekea kuchuja ghafla na ma rpc makada wamelifanya jeshi kuchukiwa sana

Mangu ana skeletons!!
 
Mkuu hakuna anayesema atakuwa IGP maana mwenye mamlaka ya uteuzi anajua aina ya mtu anayemtaka. Ila tunasema kama yeye akiteuliwa atakuwa "bonge" la IGP.
nilikuwa nawaambia hao wanaoponda IGP kwamba wanafanya kazi kiupendeleo
 
Nimekuwa nikimsikiliza huyu jamaa, akiwa anafanya mahojiano mbalimbali. Iwe na BBC, DW, na pia vyombo vya habari vya hapa nyumbani. Uongeaji wake huwa wanikosha sana.

Jamaa ametulia, anaongea 'point' tu, kila mtu hutamani kumsikiliza. Ninaamini haya matukio ya ujambazi Dar es Salaam yataisha kabla hakujacha.

Watu kama hawa tukiwa CCP walikuwa wana pass out angalau na kirungu kimoja, hususani cha ukakamavu.

Ukiwaacha Thobias Andengenye na Diwani Athumani, Sirro atakuwa Bonge la IGP.



Aliwahi sifiwa hadi na Gazeti la Mwanahalisi, kwa kuzima mapigano ya wakulima na wafugaji huko Ikwiriri.
. B. Hii habari asee umeiva ....sija ielewa kabisa .....Kwa sababu imeandikwa kama comedy japo ina vivid examples ...mwandishi yuko POA haichoshi kusoma japo inahitaj self control maana lasivyo utaishia kuanguo kicheko
 
Inaonekana huijui TZ! Unazani hawa wanaoboronga walikuwa wabaya? Subiri aingie, labda mfumo huu ubadilike. Fikiria huyu kamanda wako unaemfagilia angekuwa IGP sasa angeweza kuamuru aliyegushi hati ya mahakama kwenye ishu ya umeya Dar akamatwe? Mawimbi yana nguvu sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom