tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,246
- 4,469
- Thread starter
- #21
Mkuu hakuna anayesema atakuwa IGP maana mwenye mamlaka ya uteuzi anajua aina ya mtu anayemtaka. Ila tunasema kama yeye akiteuliwa atakuwa "bonge" la IGP.habari tunazoandika ziwe na ukweli ndani yake,, tuache habari za vijiweni