YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Hakuna binadamu asiye Na silaha ngumi ni silaha. Kichwa ni silaha mateke ni Silaha. Kwenye Mambo Ya kijeshi hakuna vita ndogo huyo alidinda ndani ya gari unajua kwenye gari alikuwa na Nini? Jimboni kwake kuna magaidi kibao wanaua polisi huwezi jua Na Kama na yeye yumo kwenye huo mtandao. Maana alishawahi poteza (au aligawa kwa magaidi) Bunduki Ya AK 47 ambayo ni silaha ya kivita. Huyo askari ilitakiwa amlenge KaBissa ukitilia maanani Mambo yanayoendelea jimmboni wake. Ukali Na dharau alizoonyesha kwa huyo askari ndizo hizo hizo wanazoonyesha magaidi jimboni kwake wanaoua askari. Vyombo vyote vya ulinzi muunganishe dots na historical background yake kuanzia zile harakati zake za uislamu wa siasa kali na ile Radio waliyotaka kuanzisha akiwa kile chama cha siasa cha itikadi Kali.Kumbe mtu asiye na silaha akigoma kutoa gari mnafyatua marisasi hewani?