Kamanda Siro akiwa na askari wa kutuliza ghasia (FFU)

Nakumbuka kulikua na sijui ukweli au tete ,kua kuna yule alieibiwa panga.

Akicheka nao saana hawa wadogo kuna siku atakuta wamemuibia nyalaka muhimu.

Watoto hawa wanatakiwa wakati mwingine wakikuona wapite mbali na sio kukukimbilia.
 
Kwakweli huko Kongo wanao pambana kwa masaa 13 bila msaada ilitakiwa wawasiliane na dar es salaam wapate usaidizi pasipo kupitia UN pengine roho baadhi zingeokolewa. Kwenye hili UN ilitakiwa kupewa taarifa tu na ku comply na yaliyo jiri huku ikikubali kuwa ni mipango yake. Binafsi nalilaumu jeshi letu la kwa kuruhusu hayo yatokee, masaa 13!!!.......ni mengi sana wakati mapigano yapo nchi ya jirani tu. Sasa tungetegemea nini kama majeshi yangekuwa bara jingine?????. Tusije kugeuka na kuwa na jeshi la la wacheza ndomboro kama la kongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…