akili ya mtu haipimwi kwa kumuonmekano ni matendo nzowa yeye mwenyewe ndiye anauza na anashirikiana kuuza dawa za kulevya analeta ujinga wake hapa. kama amekamatwa weka ndani na siyo dhamana na kesi hakuna upelezi ni kifungo mmoja kwa moja unampeleka mahakamani kudhibitisha ndio hayo sasa upelelezi ufanyike mbona nchi nyingine ukikamatwa hakuna mjadala ni lupango tu au kifo. nzowa acha usanii weka RA, EL, Karamagi mtoto wa mkulu au unawaongopa?