Kamanda Mnyika jibu mapigo haya!!

Kamanda Mnyika jibu mapigo haya!!

Kageuka

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2012
Posts
241
Reaction score
59
Kamanda najua yako nzuri kuliko hii lete kamanda wangu....watu wa karibu na kamanda msaidieni kuleta maana najua yuko busy na ukombozi wa Taifa

attachment.php
 

Attachments

  • resear.JPG
    resear.JPG
    29.2 KB · Views: 238
Angalia usije ukageuzwa dishi la watu bure unatia huruma sio kosa lako yote hii ni kwa sababu ya Raisi wako kutanguliza maslai ya kwake na familia yake huku akiacha vijana wakitumiwa kama mipira ya kiume ambayo inayupwa popote,huyo mwenye karatasi hilo alikuwa mwanafunzi bora darasa la saba kwa mkoa mzima wa Dar es salaam
 
Angalia usije ukageuzwa dishi la watu bure unatia huruma sio kosa lako yote hii ni kwa sababu ya Raisi wako kutanguliza maslai ya kwake na familia yake huku akiacha vijana wakitumiwa kama mipira ya kiume ambayo inayupwa popote,huyo mwenye karatasi hilo alikuwa mwanafunzi bora darasa la saba kwa mkoa mzima wa Dar es salaam
Hahahahaaaaaa loading......lol!!
 
a.k.a BUTIMBA TTC A LEVEL EGM

Toa upuuzi hapa kwani dakika 30 nying kutengeneza kava ilo na kupiga picha, weka first draft ilivyo sahihishwa kwa ndani tuone.......
 
Elimu kwa wabongo haina tija linapokuja swala la uongozi!

Kuna maprof.wangapi wamevurunda katika uongozi wa nchii hii?

Elimu ya kwenye makaratasi pamoja na ubora wa vyeti na uhalisia wa mambo kwa wabongo wengi ni vitu viwili tofauti!

Mfano mzuri ni yule mh. anaejiita mchumi daraja la kwanza.
 
Hivi wakuu, kwa Diploma za Tanzania kuna kuandika Research Paper pia?
 
Kamanda najua yako nzuri kuliko hii lete kamanda wangu....watu wa karibu na kamanda msaidieni kuleta maana najua yuko busy na ukombozi wa Taifa

Hivi wewe mzee Una elimu gani? Hizi ngumbaru zimewaharibu kweli! Wewe hata ungeona picha ya Nepi anakunya choo cha chuo kikuu ungeisifia.
 
Mengine kutuchosha sasa..mi nikajua doctorate (udhamivu) kumbe Diploma (stashahada)....kazi kweli kweli..
 
Mbona issue ya EGM Butimba TCC bado hamjajibu?
 
Tu utumbo kabisa huu. Sisi tupo na harakati kumbe bado kuna mijitu haijitambuiii. Sasa ndio nini?
 
Kwa elimu yangu ndogo niliyonayo, Diploma hawaandiki paper( Reasearch), ingekuwa Advanced Diploma hapo sawa ningekubali. Nina kuwa na wasiwasi kwanza kutokana na masomo ya EGM kule alikoyachukulia,naogopa kusema yawezekana hata hilyo research paper ni magumashi kama hiyo form six, miaka yote hata kabla bosi huyu wa Itikadi ya Chama kongwe hajazaliwa chuo cha Butimba hakijawahi kuwa high school! Mi ni mzaliwa wa mji wa Mwanza nazijua shule zote za sekondari mkoani Mwanza. Butima TCC ni chuo cha ualimu,kilianza kama chuo cha kutoa cheti cha awali na leo hii kinatoa diploma. Nahisi huyu bwana alimaliza Nsumba akaingia kuchukua cheti cha ualimu na cheti chake kikafanyiwa UTAFITI na kuwa kamaliza EGM Butimba TTC ili aingie kivukoni kufanya research ya ordinary diploma. Tanzania tutafika.
 
Kamanda najua yako nzuri kuliko hii lete kamanda wangu....watu wa karibu na kamanda msaidieni kuleta maana najua yuko busy na ukombozi wa Taifa

Hii Research paper Ni sawa na mhitimu wa form 4 wa mwaka jana aliyepata division 4 point 29 na bado akafanyiwa birthday party na babake unamsifia Nape kiongozi mkubwa hivyo Elimu yake Diploma?nina wasiwasi na huyu aliyeweka hii thread Ni Kati ya majuha yaliyofeli na kumwambia babake tumefeli wengi
 
Kamanda najua yako nzuri kuliko hii lete kamanda wangu....watu wa karibu na kamanda msaidieni kuleta maana najua yuko busy na ukombozi wa Taifa

Nakushangaa unaleta upuuzi na umbea huku JF tena wa kipuuzi mtu kama wewe
mbona nape hajawahi kuleta elimu yake hapa . Kila siku unamfkiria mnyika tu .... au unataka kumpa 071 maana kla siku unamfikiria tu
 
Back
Top Bottom