yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,102
sina haja ya kuulizia, wewe endeleea kuulizia sisi ukweli tunaujua...tunamsubili baba yako arudishe pesa yetu kama kweli ni taifa kwanza....- Mkuu ulizia vizuri kwa nini Lema alikataa kutoka jela, utajua sio kabisa mnayodanganyana hapa! ha! ha! JF hamna baba hapa unasimama mwenyewe kujibu hoja! ha! ha! ha! Siasa za baba hamna hapa ni taifa mbele na kwanza!
Le Mutuz Baharia! Willy @ NYC, USA.