Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,031
- 15,736
nosspass,
Tena huko kwenye sheria ndipo kuzuri.
Huku mitaani watu mnatishana na kuoneana na kwa asiyejua sheria ndiye anaumizwa kama huyu jamaa.
Hapo mtoa mada kasema dada ni msomi, kwa maana nyingine, huyo jamaa hana elimu kubwa kama bi Dada so mdada anatumia elimu yake kumnyanyasa mshikaji, na jamaa naye kanywea
Tena huko kwenye sheria ndipo kuzuri.
Huku mitaani watu mnatishana na kuoneana na kwa asiyejua sheria ndiye anaumizwa kama huyu jamaa.
Hapo mtoa mada kasema dada ni msomi, kwa maana nyingine, huyo jamaa hana elimu kubwa kama bi Dada so mdada anatumia elimu yake kumnyanyasa mshikaji, na jamaa naye kanywea