Kama wewe ni nurse ungefanyaje?

Kama wewe ni nurse ungefanyaje?

Hahaha hahaha
Na joto hilo wanaficha nini eti!
Unapomtamani fikiria kwamba nae ana mtu wake, na mkeo pia wanamtamani hivyo hivyo
Mavazi ndio huchangia haya mambo mkuu
Ukivaa kistaha wanaume tutaishia kusema kimoyomoyo "huyu dada ni mzuri", ila ukivaa kama huyo hapo kwenye picha tamaa zetu huamka papo hapo!
 
Mavazi ndio huchangia haya mambo mkuu
Ukivaa kistaha wanaume tutaishia kusema kimoyomoyo "huyu dada ni mzuri", ila ukivaa kama huyo hapo kwenye picha tamaa zetu huamka papo hapo!
Acha tamaa!
Hiyo ni picha tuu ila kiuhalisia hakuna nurse anayevaa fupi kama hiyo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom