Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Akufe tuu hakuna namna ingine aki..Kwa mwendo huu wewe ungetuulia mgonjwa![]()
Vipi angekuwa mkeo ni nurse?!
Akufe tuu hakuna namna ingine aki..Kwa mwendo huu wewe ungetuulia mgonjwa![]()
Haiwezekani ikawa dawa mkuu
Hebu tusiendelee kuongea maana moyo wangu umeshtukaAkufe tuu hakuna namna ingine aki..
Vipi angekuwa mkeo ni nurse?!
Hahaha hahahaHabari yako Nurse.... teh
Hahaha hahahaHebu tusiendelee kuongea maana moyo wangu umeshtuka
Napendekeza manesi na madaktari wote wa kike wawe wanavaa kiheshima ili kuepusha hayo yote.Hahaha hahaha
Naomba unijibu basi Mkuu, ndo tuachane na hii mada
Wanavaa kwa heshima sana tuu!Napendekeza manesi na madaktari wote wa kike wawe wanavaa kiheshima ili kuepusha hayo yote.
Wawe wanavaa suruali ndani alafu nje wavae nguo ndefuWanavaa kwa heshima sana tuu!
Shida ni watu kama wewe apo, siku zote kitu ambacho ukifanyiwa hutaweza kuvumilia kamwe usimfanyie mwingine!
Hahaha hahahaWawe wanavaa suruali ndani alafu nje wavae nguo ndefu
Mavazi ndio huchangia haya mambo mkuuHahaha hahaha
Na joto hilo wanaficha nini eti!
Unapomtamani fikiria kwamba nae ana mtu wake, na mkeo pia wanamtamani hivyo hivyo
Acha tamaa!Mavazi ndio huchangia haya mambo mkuu
Ukivaa kistaha wanaume tutaishia kusema kimoyomoyo "huyu dada ni mzuri", ila ukivaa kama huyo hapo kwenye picha tamaa zetu huamka papo hapo!
Nimetamani nikuwe huyo mgonjwa...Hahaha hahaha
Hebu na wewe! Mie sio bana


HayaNimetamani nikuwe huyo mgonjwa...![]()
Aisee! Kuna ambao wanaacha mapaja yao nje huku yakiwa yanametameta mpaka unawaza kusahau kilichokupeleka hospitaliAcha tamaa!
Hiyo ni picha tuu ila kiuhalisia hakuna nurse anayevaa fupi kama hiyo!
NakaziaAisee! Kuna ambao wanaacha mapaja yao nje huku yakiwa yanametameta mpaka unawaza kusahau kilichokupeleka hospitali
Sawa nurse kwa kunipa nafasi hiiHaya
Lala kwenye machela
Sawa..Lazima nimtetee mwanamke mwenzangu
Na mgonjwa anatanguliza kichwa.Namwita huyo wa mbele! Tubadilishane tuu
Akitanguliza kichwa yule mwanaume atamuona!Na mgonjwa anatanguliza kichwa.